Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mjini mipango. Canada my foot.Kama hujui mambo ya multiple IDs za JF unaweza ukakubali ubazazi huu. Ila jamaa kawapiga sana, anaendelea kuumiza wengine kule twitter
Mjini mipango. Canada my foot.
Kama hujui mambo ya multiple IDs za JF unaweza ukakubali ubazazi huu. Ila jamaa kawapiga sana, anaendelea kuumiza wengine kule twitter
🤣 🤣 🤣 🤣 huamini bro? Ontario kamsababishia jamaa apate dola 28,000 za kuendea Canada. Yaani Canada hii hii ulipo mji wa Ontario, Ottawa na SaskatchewanMjini mipango. Canada my foot.
Mjini mipango. Canada my foot.
Achana nae masikini huyo!Sasa unadhani naweza kupigizana kelele na watu kama nyie
Mjini mipango. Canada my foot.
🤣 🤣 🤣 🤣 huamini bro? Ontario kamsababishia jamaa apate dola 28,000 za kuendea Canada. Yaani Canada hii hii ulipo mji wa Ontario, Ottawa na Saskatchewan
Jamaa anahama hama mitandao 😅😅😅 akimaliza atahamia telegram awagongelee nyundo vizuri! Anapiga picha kwenye hoteli kali kaliSasa hivi yupo Twitter anakusanya kusanya watu wa kuwapiga
Hongera..
Hongera..
Ulianza na mtaji gani?
Ulikuwa scalper au Unahold?$1,000
Umeongea kweli tupu.Pole sana mliopigwa, forex is legit na sio kitu rahisi ni ngumu sana, myself been trading for more than 10 years and very successfully, nilipoanza nilipoteza pesa nyingi from my incompetency and not brokers ,luckily ninapoishi regulators are the best huyo Ontario angekuwa jela zamani sana, careful hii kitu inaweza kukumaliza akili na kukutia umaskini wa ajabu, wekezeni pesa ambazo hata zikipotea haitakusumbua na maisha yataendelea, kuna training za bure nyingi tuu youtube watakufundisha the whole market,different systems and how you can use to be a profitable trader lakini i guarantee hakuna system itakufanya uwe rich bila your own hard work, ni juu yako to know how to trade and make money, ila one thing i know for sure and very important forex is a pattern and there's some math (not real math lakini ni vizuri kuwa familiar na math kidogo maana unaweza kuogopa kama hupendi math), kama una uwezo kuona pattern you will make money, na pia vitu kama moving averages, RSI, Bollinger bands ,Fibonacci etc ni vizuri kuvisoma na kuvijua deep believe me ni tools legit zinazoweza kukutengenezea pesa nyingi sana na traders all over the world wanazitumia, for some reasons forex sio rahisi kumfundisha mtu, successful traders mara nyingi wanajifundisha wenyewe namna ya kutengeneza pesa baada ya kupata some basic trainings...you can make tons of money in forex and good luck, kitu muhimu pia know your brokers na regulations za forex just for your own safety
Huu ndio uanaume. HongeraNdugu yangu! Wale waoga wamekaa kimya Mimi nimeona niseme hili ili at least kuokoa wale wanaotaka kuingia wazima.
[emoji27] [emoji27]
Ulikuwa scalper au Unahold?
Yupo Canada ya Buza🤣 🤣 🤣 🤣 huamini bro? Ontario kamsababishia jamaa apate dola 28,000 za kuendea Canada. Yaani Canada hii hii ulipo mji wa Ontario, Ottawa na Saskatchewan