Humble African
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 4,781
- 14,415
- Thread starter
-
- #81
Sijilaumu kuijua Forex Bali nawalaumu walio matapeli.Naona mnakuja mmoja mmoja.
Me too....kama inakulipa komaaNice to see you here.
Kufanya Forex hatukomi.
Inakulipa na wewe au ndio bado unatengeneza foundationya kuwa profitable?Me too....kama inakulipa komaa
Nakumbuka sana ankoAt the peak ya haya mambo niliandika mada ya uchambuzi kuhusu forex.. Sikuwa na upande bali niliandika kama uchambuzi... Dah siisahau ile mada niliandamwa mno huku nikiambiwa najua nini ni afadhali nibaki na matunguli yangu mambo ya forex niwaachie wajuzi... Mwishowe mada ikawa executed...! Sikukubali nikapambana mpaka ikarudishwa... Wale ndugu sio nao ni wahanga!?
This time ni la namna nyingine sio kama zamani.Mmmmmmh mnataka kulianzishaa tena ??...
sasa mkuu swali jepesi bado uko kwenye demo au live accountForex ni halali na bado ina potential ya kukupa hela nzuri kama hauna tamaa. Mimi bado nafanya Forex sema naamini nimeiva kiasi cha kuifanya mwenyewe bila kuteteleka na hata nikiwa na mtu akianza utapeli nang'amua maana nina kitu muhimu ambacho ni knowledge na experience. Na hii imenichukua muda, haiji haraka haraka. It takes time of hard work, continues learning process, and strong determination.
Mbaya ni matapeli tu Lakini fursa mbona ni potential sana kukupa hela ambayo sio easy maana lazma ujue kutafsiri chart and graph..ukijua hilo..you are good.
Niko kwenye live account muda huu ni muda wa kazi...!sasa mkuu swali jepesi bado uko kwenye demo au live account
Ila poleni japo kuna watakaokuja kupinga ulichoandika na kuwaaacha wengi round about ...japo naamini kuna wengi wamepata na wengi wamekosa ndo biasharaThis time ni la namna nyingine sio kama zamani.
mimi niko kwenye demo baada ya kuchomewa account kizembe na mentor chokoNiko kwenye live account muda huu ni muda wa kazi...!
Demo ni kwa ajili ya hawa newbies. I'm about of be Forex Guru.
Mbona unafanya vizuri hivi? But Fanya demo hadi uzoee manoeuvre ya market inavyobehave.
Taaaaaaatu mzukaaaaa!Biko mshiko. Nje nje
niko fresh sana kwenye demo ila sasa kwenye live huwa presha inapanda najikuta na lose. kuna siku kidogo nivunje lap top zaidi ya 1800 dollar zilipotea ghafla in 10hrs na account ikasoma 2.7 $Mbona unafanya vizuri hivi? But Fanya demo hadi uzoee manoeuvre ya market inavyobehave.
vipi nyanya unalima sehemu ganii na una heka ngapi?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukiona manyoya ujue kaliwa, ndo mshaliwa.
Mi naendelea na kilimo Cha Nyanya wakuu