Hivi ndivyo tulivyotapeliwa na Ontario wa TMT kwenye Forex

Hivi ndivyo tulivyotapeliwa na Ontario wa TMT kwenye Forex

subiria pullback utoke mkuu trend ni up NFP ndio iliiyumbisha tu kupelekea kusell
I could be wrong boss but 4H na Daily charts zinaniambia ni down trend, and I use to hold positions for some days. Plus fundamentally USD is vulnerable because of US- CHINA trade war on tarrifs, plus Canada had good Employment report today. I will exit when the price close above recent highs on 4H chartView attachment 736362
Screenshot_2018-04-06-19-17-48-158_net.metaquotes.metatrader4.jpg
 
Nilishtukia hii janja siku nimeenda TMT nataka lipia training nalazimishwa nimtumie JP market doh nikawaomba nitumie broker wangu Dogo akakaza nikasema isiwe tabu nitasoma mwenyewe namshukuru Mungu nimepona hahaaa
 
Nikipata time ntaanzisha uzi...... huyu Dogo Ontario arudishe PESA za watu..... FOREX is real sema ni kama sports betting tu... utofauti wake FOREX n kusoma soma ma vitabu.... but n same na betting.. huwez tajirika through FOREX....

Ukiachana na utapel watu kama akina Ontario.. behind FOREX kuna kitu kikubwa sana ambacho watu hawakijui thus why wanapoteza.... FOREX ingekuwa kama Ontario na watu wengine wanavyoaminisha hakuna mtu angekuwa masikini.. watu wote tungekuwa matajiri.....

Kuliko mtu afanye FOREX bora afanye sports betting TU....
Wewe huijua Forex so acha kuipaka matope .

Umeshindwa kuiweza forex so achana nayo .

Forex haipo kwa watu wote ila wachache wenye uelewa mpana wa kiakili na kisaikolojia

Kama hauko katika categories hizo acha kabisa haikufai .

Kuhusu ontario huyo jamaa amezingua sana so lawama ziende kwake sio kwa forex

Sisi tunaofanya na kupata faida hatuoni shida .

TMT na ontario hawakuonyesha kustick nabinu zipi mbaya zaidi system yao yankuwakusanya na kuwapa signal ilikuwa sio nzuri

Forex ni kama kilimounapewa jembe unaenda kulima hatuwezi kukupa jembe na mazao yake(signal)

So acha kuleta upambe nuksi
 
... hili suala alituficha but aliwahi kusema "Bob Marley you can fool some people for sometime but you can't fool all the people all the time"...

"You can fool some people all the time. You can fool all people some of the time. And that is enough for most purposes." ~ Anonymous.
 
Forex haina ujanja, acheni kudanganya watu..

Forex is gambling, na duniani hakuna Insurance kwenye gambling business..

If you want to be rich, u need to sell goods or services, full stop.

Matajiri wote duniani na wote wenye maisha mazuri wana bidhaa au huduma wanaipeleka sokoni.

Forex haina tofauti yeyote na betting.
Hata kuuza ndizi porini ni gambling tosha

Kilimo pia no gambling tosha kuna wadudu,mafuriko,ukame,wezi,moto,mfumuko wabei na.mambo mengi .

Biashara zote duniani zina risk hakuna iliyo salama

Baishara zinahitaji mbinu nzuri soko zuri ujuzi na mipango the same kwenye forex

Tatizo lenu watanzania ni watu wapuuzo wapuuzi tunaponda kila kitu kikikundee kombo hutaki hata kujua wapi umekosea .

Na wengi wetu hatufanikiwi sababu mnapenda kubadilika badili kila siku kama vinyonga .

Ontario na TMT ndio waliotufungua macho fursa ya forex ambayo nni kweli iko na uhalisi lakini system zao walizotumia kuwakusanya watu na kupiga hela zao imetia doa kabisa forex .

Hii inafanya hata sisi ambao tunaifanya na hatuhusiani na TMT tuonekane wale wale tu .

So Guys mjue kutofautisha katika ya Forex market na Ontario na TmT yake .

Fanyeni utafiti msiwe watu wa kuongea ongea.vitu msivyojua

Na mjifunze kutofautisha vitu

Watanzania ni watu waajabu sana aisee
 
Wewe huijua Forex so acha kuipaka matope .

Umeshindwa kuiweza forex so achana nayo .

Forex haipo kwa watu wote ila wachache wenye uelewa mpana wa kiakili na kisaikolojia

Kama hauko katika categories hizo acha kabisa haikufai .

Kuhusu ontario huyo jamaa amezingua sana so lawama ziende kwake sio kwa forex

Sisi tunaofanya na kupata faida hatuoni shida .

TMT na ontario hawakuonyesha kustick nabinu zipi mbaya zaidi system yao yankuwakusanya na kuwapa signal ilikuwa sio nzuri

Forex ni kama kilimounapewa jembe unaenda kulima hatuwezi kukupa jembe na mazao yake(signal)

So acha kuleta upambe nuksi
Chief chief nimesema tokea mwanzo kuna kitu behind FOREX... .. kikubwa tu ndo maana nasema FOREX is like Betting.
 
naaam siumeona wenyew wamesema kuwa aliwaambia kwamba anawapiga ili aweze kulipia shughuli za uendeshaji kampuni yake
sasa angewaambia wangekataa!?..hiyo ni kujitetea tu!!..
 
Kama kuandika kiswahili kwenyewe huwezi utaweza kung'amua knowledge "adhimu" ya forex.

Ndo[emoji735]
Ndio [emoji736]


Nyie endeleeni kulima matikiti na kufuga kuku wa kizungu. Forex ni kwa watu wenye akili za kiwango cha hali ya juu. Kamuulize mtu popote pale duniani aliesoma uchumi Speculation ni nini kwenye uchumi. Hapo ndipo tunapata financial markets kama stocks,forex,commodities,shares na EFTS. Kama unakubali stocks na shares ni halali na hapo hapo unasema forex ni upuuzi bado una uwezo mdogo sana kwenye masuala ya financial markets za dunia.


Watanzania tuache lawama na kuwa "vimbelembele" kwa vitu msivyojua.


BTW forex sio kwa kila mtu. Ni watu wachache sana huwa consistent kwenye biashara hii.
Ndo maana nasema hujui Kitu kilicho nyuma ya FOREX.... kubali kupokea knowledge... otherwise Tulia ipenye
 
Kama kuandika kiswahili kwenyewe huwezi utaweza kung'amua knowledge "adhimu" ya forex.

Ndo[emoji735]
Ndio [emoji736]


Nyie endeleeni kulima matikiti na kufuga kuku wa kizungu. Forex ni kwa watu wenye akili za kiwango cha hali ya juu. Kamuulize mtu popote pale duniani aliesoma uchumi Speculation ni nini kwenye uchumi. Hapo ndipo tunapata financial markets kama stocks,forex,commodities,shares na EFTS. Kama unakubali stocks na shares ni halali na hapo hapo unasema forex ni upuuzi bado una uwezo mdogo sana kwenye masuala ya financial markets za dunia.


Watanzania tuache lawama na kuwa "vimbelembele" kwa vitu msivyojua.


BTW forex sio kwa kila mtu. Ni watu wachache sana huwa consistent kwenye biashara hii.
Boss hawa watu hawawexi kukuelewa kabisa mtu amasema stocks ni halali halafu Forex ni utapeli hahahah watanzania ni wapuuzi sana aisee

Tatizo ni elimu elimu elimu jamaani

Watanzania mabadiliko ya teknolojia yamewapitia kushoto wako kushangilia bombadia hahahahah

Mi naomba mlioshindwa forex mjichuje msepe mtuacha wachache wenye njia kabambe za kupiga hela .


Nasemaje achaneni na forex haiko kwa kila mtu bali kwa wachache tu wemye akili zinazojielewa

Scammers watawapiga sana hela ila forex itaishi .
 
Kuna watu kibao humu JF walituasa kwamba Forex ni utapeli hilo kwanza napingana nalo kwa nguvu zote sababu sio kweli kwamba forex ni utapeli kabla sijafunguka mengine niwathibitishie nimejiridhisha bila hata lepe la mashaka kwamba Forex is real and its my future lifestyle na binafsi sijioni nikikoma kufanya Forex licha ya haya magumu ninayopitia bali mawazo yao ninayachukuliaga kama catalyst ya kutaka kuzidi kuijua hii biashara kwa mapana zaidi kujua weakness na strength zake na kujua potential scammer, wezi na matapeli wakoje maana wametawala hii biashara kwa kiasi kikubwa kutokana na kuwa na money liquidity kubwa kuliko soko lolote duniani..more than 6 trillion USD is traded daily on the Global financial market..hiki ni kiasi kikubwa sana hivyo matapeli huwa wanazengea zengea kwenye magap Kama haya yenye mkwanja mrefu..my economic cake pie is in Forex that's why I wont quit it easily.

But changamoto kubwa ya Forex ni hawa brokers na trainers..ninaposema trainers nazungumzia mtu kama Ontario hawa waliochungulia fursa mapema na kuintroduce kwa watu nchini kwa kigezo cha kuitoa elimu kwa bei sawa na bure tusijue wana agenda yao ya siri na Wasauzi ya kutaka kuwaliza watanzania wenzao.

Ontario ni mtunzi mzuri wa story na ana kipawa cha kusimulia na kushawishi kwa ufasha na ni mtu mwenye uelewa mpana wa mambo but anakosa kitu muhimu sana katika maisha uwezo wa kusocialize na watu in harmony..he is not a leader he is a boss na ukiangalia there is a thin line between a leader and a Boss..Ontario ana dharau, kiburi, na kejeli mbaya sana bila kujalisha umri wa anaeongea nae. Hana attentive listening ukiongea nae anakuangalia kama Choo na hajali lolote najua wengi waliokutana nae watakiri huu ukweli mchungu kwake ukiona mtu ana urafiki na Ontario ujue huyo mtu analazimika kujishusha sana kwa huyu dogo ili waende along. Huwa nashangaa ni rafiki sana na Bold. Pole sana Bold..I know what you going through.

Wahenga humu walituhasa kwamba ukiitwa kwenye fursa tafakari mara mbili yaweza kuwa wewe ndio fursa.anyways tulipoitwa kwenye fursa mwanzoni mambo yalienda vizuri na humu tulikuwa tunavurumusha screenshot za profit tu kwa maelekezo ya Ontario ili tuwakoge haters hadi haters wakafyata but kadri siku zilivyoenda mambo yakawa kimya ikawa ni loss daily tu watu wamechukua viinua mgongo vyote vikafyekwa sokoni. Hakyamungu!

Saga lilianza around mwezi wa kumi baada ya Ontario kula njama ya siri na broker awe anampa pips 2 kwa kila kichwa na zikiwa zinatoka calls kibao kombo kwa siku na zote zilikuwa sio accurate hivyo na watu kutengenezewa mazingira ya kutrade more often inamaanisha wakitrade watu 1000 wakafungua position 7 kila mmoja na idadi ya spreads pips anazopewa kutoka kwa broker kwa mtu mmoja ni 2..kimahesabu anapata 1000×7×2= 14,000 pips hizi ni dola kibao kwa siku ..wandugu wanojua mahesabu zaidi wanajua ni madola kiasi gani jamaa kavuta, hili suala alituficha but aliwahi kusema "Bob Marley you can fool some people for sometime but you can't fool all the people all the time"... Tukashtuka..tukamuuliza..akakubali ila akakiri alituficha na hayo mamilion yanayopatikana ni kwa ajili ya kuendeshea ofisi ya TMT co Ltd iliyoko pale Jangid plaza.. Watoto wa maskini tukakubali tu kwa shingo upande ila tukawa tumeghafilishwa na kusikitishwa sana na hizi njama zao..hili likapita na tukajilazimisha kukimeza maana ukipenda boga upende na ua lake.

Tamaa ni mbaya sana..licha ya kuchukua mamilion kutokana na hizo pips hawakuridhika..bado tena walikuwa wanachukua pesa kibao kwa siri kwa ajili ya IB link kwa affiliate program waliotuunga nayo siku tunamaliza mafunzo kutoka kwa broker kwa sisi tukipata loss sokoni wao wanapata chochote maana broker wao ni market marker. Hakyamungu! People are heartless.

Kama ilivyo asili ya watu wenye tamaa mbaya wakivurugana basi wao hukimbilia kutafuta sympathy ya Wateja..juzi wakavurugana broker na TMT kama ilivyo tabia ya wezi na matapeli kugeukana.. Majuzi wenyewe wanakuja na habari kwamba yule Broker ni market Maker na mwizi..kweli? Wakati wewe mentor umeishi South afrika na umekuwa Trader kwa miaka kibao bado hujui status ya broker unae trade nae? Na inakuwaje mrecomend broker mwenye walakini na competency na efficiency yake? Broker nae anajitetea kwa kutuma texts kwa Wateja privately akimtuhumu huyo mentor kuwa ni batili na mbabaishaji na kuwasihi watu wamuignore!? Blalifuli!

Tangu mwanzo mchakato uligubikwa na walakini mkubwa uliokuwa unaendelea..kwanza kumlazimisha mtu afungue real account baada ya siku tano tu za kumaliza mafunzo na aweke laki tano kuanza kutrade ilikuwa ni ishara ya wizi wa wazi sema tulikuwa na trust na maneno sukari ya Ontario, thus we were blind and fear of missing out easy Money.. Hatukujua!

Kutoa calls zaidi ya 7 kwa siku ni ishara mbaya ya kuwafanya clients waovetrade then wao wapige hela. Wizi huu.

Kuwaambia watu waongeze position ilhali wako in deep red ilikuwa ishara ya wizi, kuwataka watu waburn account zao wao wanufaike.

Kudiscourage matumizi ya stop loss ilhali ndio silaha ya kukinga mtaji wako kwenye Forex ilikuwa ishara ya wizi.

Watu wapoteze zaidi ili mpate zaidi maana kila ijumaa ilikuwa tunapunwa hela yote ya wiki nzima.

Mungu sio Sholo Mwamba, Yule broker market maker aliekuwa anatupiga sisi kwa tamaa kapitiliza kawafanyia mtimanyongo hadi kampuni ya TMT kaipuna zaidi ya nusu billion mapema mwezi wa kwanza. Imagine kampuni hii Changa ya huyu dogo imewazaje kupata nusu billion kwa muda mfupi hivi? Ni mikwanja aliyotuibia sisi misukule wake. But in life! "easy come..easy go"..ukikipata kiwepesi..kitaondoka kiwepesi pia. Nusu billion gone in a single month. Kweli JP Market broker ni hayawani!

Nitoe Rai kwa Ontario...sio kwamba namchukia hapana Bali naamini biashara inayohusisha watu moja kwa moja haiwezi kutokana na tabia yake mbaya ya asili..biashara na dharau, kebehi, utapeli na matusi havichangamani milele. Ni vyema akaendela na kilimo apate mil 19 zake kwa siku. Ameharibu kitu muhimu sana katika maisha yake ya biashara "Brand" and trust ya watu wengi aliowavuta kwa maandishi matamu humu JF..Trust ya watu pekee ni mtaji mkubwa kuliko hata mtaji wa fedha.

Namshukuru kwa kutuletea fursa hii adhimu lakini isiwe sababu ya kutuibia, kututapeli na kutunyanyasa economically and emotionally.

Rai kwa traders waliopigwa za uso na ndugu yao.."if you want to be strong learn how to fight alone" kwa kuwekeza Kwenye skills and self learning tunaweza kuwa self consistency profitable traders..let's ignore TMT they are scammer and predators and I don't recommend anyone to trust them.

Oooooopsiiii! Finally misukule wa Ontario tuko huru but tuko nyang'anyang'a kiuchumi. But it feels good kuwa huru.

Forex sio utapeli, matapeli ni mawakala wake.

Ni bora walimkavu...kuliko walimwengu!

Freedom!.
...................................
 
Back
Top Bottom