Humble African
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 4,781
- 14,415
- Thread starter
- #581
Ah ah ah ah! Ukifanikiwa niite...nitakuja kukupa support mzawa.Aiseeeh hii ni breaking news ngoja niitafutie PRess cONFERENCE....
Nina mengi ya kushare!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ah ah ah ah! Ukifanikiwa niite...nitakuja kukupa support mzawa.Aiseeeh hii ni breaking news ngoja niitafutie PRess cONFERENCE....
Mkuu ukijua faida yangu itakusaidia nini mzee baba,Baniani mbaya kiatu chake dawa!
Mkuu tangu uanze umepata faida dollars ngapi kwa mtaji kiasi gani
Ah ah ah ah! Ukifanikiwa niite...nitakuja kukupa support mzawa.
Nina mengi ya kushare!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] jamani. For no reason [emoji1] [emoji1] heri yangu mimi ninaesoma vitabu vya uncle TedPole sana mkuu! Anasemaga for no reason...yaani ametutapeli for no reason. Ah ah ah ah!
Hao jamaa wasafishe mapito yao kwa kweli.Its an addiction hata Mimi siachi ila tujaribu kuexpose sana hawa wababaishaji ili game iwe clean tusionekane watu wa Forex ni matapeli na misukule.
We are smart morfkaz too.
Share awareness!
Kaka apa unatudanganya hamna mtu alieweza fikisha million usd kwa mtaji 100USDMkuu ukijua faida yangu itakusaidia nini mzee baba,
Unachotakiwa kujua je ni kweli forex ni real na unaweza kutengeneza pesa?
Ukishajua hapo baasi mambo mengine yanakuja
Suala la kutengeneza pesa hilo ni la mtu na mtu
Kuna watu wametengeza zaidi ya million(USD) kwa mtaji wa 100Usd
Na kuna watu wamepoteza pesa nyingi sana so ni wewe na discipline yako + patience
Hapana! Bali nia ni kuexpose mechanisms za utapeli tu.Kwani FOREX ni utapeli?
Its too late to apologize...!Hao jamaa wasafishe mapito yao kwa kweli.
Ni kweli server zetu pair zilikuwa mtindo huu EURUSD- badala ya EURUSD pasipo na alama ya deshi na nilichunguza hizi pair zina spread kubwa kuliko hizo zisizo na deshi hizo server si kwa ajili ya TZ bali wale client wa TMT kwa lengo la monitoring pale mtu ukipost trading results ukiwa na pair zisizo na desh wanajua hautrade na jpmarkets kupitia ile link ya kujiungia kwa broker waliyotoa na piaa kuwachangia spread yaani TMT wanafanya upatu ndani ya forexSure things mkuu na watu 1000 hawa ni robo tu ya clients wa Dar..kuna wa Mwanza, Arusha, e.t.c
Tumewatajirisha sana basi tu hawana shukrani.
Mkuu unafanya nini huku wicksdontlie anafanya webner[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] jamani. For no reason [emoji1] [emoji1] heri yangu mimi ninaesoma vitabu vya uncle Ted
Hii dhambi itamtafuna Ontario + ile dharau, majivuno na kujiona ana kazi ya ziada sana kujisafisha...Ni kweli server zetu pair zilikuwa mtindo huu EURUSD- badala ya EURUSD pasipo na alama ya deshi na nilichunguza hizi pair zina spread kubwa kuliko hizo zisizo na deshi hizo server si kwa ajili ya TZ bali wale client wa TMT kwa lengo la monitoring pale mtu ukipost ukiwa na pair zisizo na desh wanajua hautrade na jpmarkets kupitia ile link ya kujiungia kwa broker na piaa kuwachangia spread yaani TMT wanafanya upatu ndani ya forex
Daah! Umenifumbua macho nilikuwa sijanote hii mkuu!Ni kweli server zetu pair zilikuwa mtindo huu EURUSD- badala ya EURUSD pasipo na alama ya deshi na nilichunguza hizi pair zina spread kubwa kuliko hizo zisizo na deshi hizo server si kwa ajili ya TZ bali wale client wa TMT kwa lengo la monitoring pale mtu ukipost ukiwa na pair zisizo na desh wanajua hautrade na jpmarkets kupitia ile link ya kujiungia kwa broker na piaa kuwachangia spread yaani TMT wanafanya upatu ndani ya forex
Mkuu usibishe kama unaweza fanya calculation ya kuzalisha 5% tu ya mtaji wako weka kwa siku 240 za kutrade kwa mwakaKaka apa unatudanganya hamna mtu alieweza fikisha million usd kwa mtaji 100USD
Ahahaha! Ili tusi huwa refu sana mdingi angu alikuwaga colonel mkoloni sana alikuwa analitumia sana...ukimuudhi utasikia "Porokodiomadonna...nyumbu ndaya..anamalizia na Blalifuli" Basi Mimi sina mbavu licha ya maumivu ya stick za mdingi..!Blaliful[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hizo calculation za 5% kila siku sio realistic kabisaMkuu usibishe kama unaweza fanya calculation ya kuzalisha 5% tu ya mtaji wako weka kwa siku 240 za kutrade kwa mwaka
Forex its all about discipline brother
Lazima uwe na malengi ya muda mrefu kama miaka miwili au mitatu you will be far away
Sasa wewe kama una 100usd halafu baada ya siku mbili iwe 2000 hapo ndo kuunguza acc kunakujaga
As long as bado yupo na watu its not too late. Pia aweza kuja na kampuni nyingine chini ya CEO mwingineIts too late to apologize...!
This may help at least kukamata misukule wapya.As long as bado yupo na watu its not too late. Pia aweza kuja na kampuni nyingine chini ya CEO mwingine
Oooh sasa shida leo nna kifurushi kidogo na 6% chajiMkuu unafanya nini huku wicksdontlie anafanya webner
Macau China kuna vyuo vinafundisha masomo ya gamblingHapo kwenye red!
Je ni chuo gani mlikua mnafundishwa "kamari" darasani?
Tafadhali naomba majibu!