Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
waambie na wenzio muache kuniibiaUongo mkubwa tatizo la nyie mabosi hata mkiambiwa ukweli mnadhani uongo endeleeni kujidanganya tu.
[emoji23] [emoji23] imagine una kuku 1500 uwakariri woteNimecheka sana.
Uwakariri sura kuku?
Hata ningekuwa mimi ndo hao vijana ningekula sana mayai.
[emoji23] [emoji23] imagine una kuku 1500 uwakariri wote
[emoji23] [emoji23]Mbinu nyingine ya kuwajua ni hii
::: utakuta vijana hao mashavu dodo kwelikweli maana so Kwa kumega mayai huko.
Wewe ni shamba boy au girl?Uongo mkubwa tatizo la nyie mabosi hata mkiambiwa ukweli mnadhani uongo endeleeni kujidanganya tu.
Mkuu mimi naweza nisijue idadi yao lakini akitoweka kuku mmoja tu kati400 nakwambia kuku mmoja wa hivi na hivi simuoni.Hivi mtu unawezaje kukariri sura za kuku zaidi ya 300...!!?
Sasa hapo itakubidi uwe na majina yao ili kila ukija unawaita majina......
NB;
Mradi wako wowote wa gharama unahitaji uangalizi wako wa karibu sana au mtu wako wa karibu ambaye ni muaminifu sana.......otherwise ni disaster