Hivi ndivyo waafrika wenzetu wanavyotuona ama hawa waganda wamekuza tu!?

Hivi ndivyo waafrika wenzetu wanavyotuona ama hawa waganda wamekuza tu!?

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Kuna hii "Clip" hapo chini ambayo imeigizwa na wale watoto wa Uganda walioigiza jaribio la kuuawa Kwa Donald Trump wa Marekani.

Clip hiyo inaonesha utofauti uliopo kati ya wasudan wakiandamana na watanzania wakiandamana.

Kwa upande wa Sudan inaonesha hata waandamanaji wakipigwa risasi, waandamanaji wengine wanasonga mbele na maandamano bila ya hofu.

Lakini Clip hiyo inaonesha kwa upande wa Tanzania, waandamanaji wakisikia sauti tu ya bunduki ikikokiwa, wanatimka mbio.

Jee Kuna ukweli wowote katika hili?

Hao hapo...
 
Hahah, kuna ukweli.

Watanzania tunaweza kuandamana kwenye mambo ya kawaida kama kwenda uwanjani kushabikia timu lakini sio kwenda kudai haki na kupigania maendeleo.

Pia sisi ni wabinafsi sana, kila mtu anajiangalia yeye na familia yake tu. Mtu akipata fursa moja hayupo tayari kula na mwingine.
 
hii ni 100% abuse to children, waacheni watoto wawe watoto, wachezee toys na magari, wajenge treni au wabembee kwenye bembeya, wacheke na wafurahi, kwa nini mnawapa kilking weapons? pure evil …
 
abuse of children, waacheni watoto wawe watoto, wachezee toys na magari, wajenge treni au wabembee kwennye bembeya …
Kama hakuna toys na bembea..?

Hiyo hela ya kununulia magari ya kuchezea itoke wapi wakati wazazi wao hela tu ya kununulia kilo Moja ya Dona wanapata kwa mbinde...!?
😀😃😄
 
These children are talented and they earn a lot of money .

Let them use their gift

you call it talent? thags abuse of children au unafikiri hao watoto wameandika hiyo script na kutengeneza kila hiyo acting?
 
Kama hakuna toys na bembea..?

Hiyo hela ya kununulia magari ya kuchezea itoke wapi wakati wazazi wao hela tu ya kununulia kilo Moja ya Dona wanapata kwa mbinde...!?
😀😃😄

na hela ya kununulia hizo bunduki wampepata wapi? narudia tena hiyo ni child abuse, hao watoto D.Trump wamemjulia wapi achilia mbali hata tu kuelewa mambo ya republican au sijui american politics?
 
Hao ni watoto wa kwanza kuigiza!?

Jee hakuna filamu zilizotpakaa ulimwenguni pote zilizoigizwa na watoto?

kuna kuigiza na kuigiza, nionyeshe watoto wa kizungu wa umri huo au race nyingine yoyote iliyostaaribika ambapo watoto wanaigiza killing and shooting each other, nchi zilizostaarabika unashitakiwa ku stage mchezo kama huo kwa watoto, na wala siyo jambo la kuchekesha, ni child abuse …
 
you call it talent? thags abuse of children au unafikiri hao watoto wameandika hiyo script na kutengeneza kila hiyo acting?



Watoto walivyocheza wamecheza kawaida Sana

Ila waliongiza sauti ndo wameingiza hizo sauti ya risasi


So I hope hawa watoto hawajacheza na kuingiza ktk allkili yao protesting

So tuwe positive hakuna mtoto yeyote hapo kashika gun
 
Watoto walivyocheza wamecheza kawaida Sana

Ila waliongiza sauti ndo wameingiza hizo sauti ya risasi


So I hope hawa watoto hawajacheza na kuingiza ktk allkili yao protesting

So tuwe positive hakuna mtoto yeyote hapo kashika gun
Kinachotafutwa hapo ni ujumbe uharibiwe (Distort).

Mjadala utoke kujadili ujumbe uende kama ni sahihi ama si sahihi kuwatumia watoto kuwasilisha ujumbe husika!!
 
kuna kuigiza na kuigiza, nionyeshe watoto wa kizungu wa umri huo au race nyingine yoyote iliyostaaribika ambapo watoto wanaigiza killing and shooting each other, nchi zilizostaarabika unashitakiwa ku stage mchezo kama huo kwa watoto, na wala siyo jambo la kuchekesha, ni child abuse …
Acha uwongo tena wenzetu watoto mpk ushoga wanaigiza yaani wazungu sio wakutolea mfano kabisaa ,movie kibao za watoto tena vinaua hivyooo au nkupe list ya izo movie
 
hii ni 100% abuse to children, waacheni watoto wawe watoto, wachezee toys na magari, wajenge treni au wabembee kwenye bembeya, wacheke na wafurahi, kwa nini mnawapa kilking weapons? pure evil …
Na wale watoto wetu wanaibakwa na CCM kuhudhuria mikutano yao na kuvishwa sare za CCM bila idhini yetu wazazi mbona haukemei!
 
Back
Top Bottom