Hivi ndivyo waafrika wenzetu wanavyotuona ama hawa waganda wamekuza tu!?

Hivi ndivyo waafrika wenzetu wanavyotuona ama hawa waganda wamekuza tu!?

Kuna hii "Clip" hapo chini ambayo imeigizwa na wale watoto wa Uganda walioigiza jaribio la kuuawa Kwa Donald Trump wa Marekani.

Clip hiyo inaonesha utofauti uliopo kati ya wasudan wakiandamana na watanzania wakiandamana.

Kwa upande wa Sudan inaonesha hata waandamanaji wakipigwa risasi, waandamanaji wengine wanasonga mbele na maandamano bila ya hofu.

Lakini Clip hiyo inaonesha kwa upande wa Tanzania, waandamanaji wakisikia sauti tu ya bunduki ikikokiwa, wanatimka mbio.

Jee Kuna ukweli wowote katika hili?
View attachment 3060486
Hao hapo...
Mbona hawaigizi jaribio la kumuua Trump?

Amandla...
 
Watanzania ni viumbe wa kipekee. Siyo binadamu na wala siyo wanbyama
 
Hiyo clip ni halisia, ni kweli, ila iko wazi watz IQ ni kubwa sana for now, watz ni next level generation, akili mingi, watz wanatumia mitandao, watu wako nyuma ya keyboard gizani wanarusha mabomu na makombora na kuandamana kidigitali na kukosoa watawala na majibu ya sirikali wanapata mf kukatika umeme wahusika wako benchi sasa kwanini watz waende road kwenye mavumbi wakaandamane kushindana na virungu , risasi na mabuti ya FFU wakati sirikali yao inajibu grievances japo sio zote.

Si kila kitu cha kuiga, watu wa fujo kamwe hawafanani na wastaarabu nao hutumia physical violence badala ya mental intelligence , watz tuige vyenye faida kama electric train inatosha, Uganda, Kenya na Sudan na madictator wao , wao wamezoea violence na kuuana, wao waandamane road wapigwe risasi huko inatosha sisi watz high IQ tuna protest kidigital kwa cm tu huku tuko lunyasi Yanga day tunakula bata !
 
Back
Top Bottom