Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,295
- 10,928
Nilikuwa nayo mawili maduka, ndiyo biashara yangu ya kwanza kabisa kama mwajiriwa. Niliyafunga yote, na nikabuni biashara nyingine na hela naiona. Pia tukafanya maamuzi magumu mmoja wetu akaamua kuacha kazi na kusimamia. Ila ya duka tupa kule kabisa.