inaonekana
biashara nzuri sana hapo ni mtaji tu na soko
Kwa upande wa soko si ni lazima uende mwenyewe kwanza ili ukutane na wahusikaInabidi uwe na cooler transporters
Kwamaana kwamba ukiwa unafahamiana na hao jamii ndogo sio. Kama una wabongo kule hii biashara mnaweza kuifanya kumbe bila hata wewe mwenyewe kupanda pipa.Ni kweli lakini unaweza kuanzia Ubalozi wa nchi lengwa na kuwambia soko lako ni ethnic minority’s community