Hivi ndivyo Wakenya wanavyo tafutiwa kazi Tanzania, nyie mkisugua benchi na mkingoja Mbowe aandamane kuwatetea

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
View attachment 3164849

Hizi ni kazi ambazo zinaweza sana fanywa tu na Watanzania, ila sasa sijui ni wawekezaji au la, wanatafuta Wakenya, na inaonekana hawataki Watanzania.

Tena analipwa pesa nzuri na nyumba bure na Chakula na matibabu.

Haya yako sana kwenye utalii huko ndio usiseme, unakuta hadi Wahasibu ni wageni.

Serikali ya CCM haya hayawahusu, wao sana wanajua kuiba na kuja kulia lia majukwaani wakitafuta huruma.

Mambo kama haya huwezi yakuta nchi nyingine make huko wabajali sana Raia wao.

Endeleeni kungoja Mbowe na Familia yake waandamane kuwatetea.
 

Attachments

  • Screenshot_20241129_082427.jpg
    217.3 KB · Views: 7
Sasa mtu kama kifua kipana ndio anasimamia wizara kubwa kama tamisemi.
Wewe huoni tuna mkwamo kama taifa?!
 
Sasa mtu kama kifua kipana ndio anasimamia wizara kubwa kama tamisemi.
Wewe huoni tuna mkwamo kama taifa?!
shida sasa iko kwa raia, na hii itaendele vizazi na vizazi, Hakuna mabailiko yalio wahil letwa na kulaumu. lazima tuamke.
Ila wanao paswa kuamka wamelala
 
Kama watanzania wanaendekeza uchawa Kwa bibi yao na kuendekeza uzembe hakuna atakayewabembeleza kuwaajiri
 
Umeacha kuchambua swali muhimu . Kwa Nini muajiri alipe zaidi ikiwa anapata ufanisi unaohitajika kwa kazi uliopo.
Watanzania ni lazima waangalie ufanisi wao kazini. Private sector sio serikalini ambako ni kula mpaka kusaza huku hakuna kazi iliofanyika zaidi ya longo longo na porojo.
 
 
Wapo Mkoani shinyanga ni wengi sana, hata kiswahili hawajui kuongea vizuri, jambo Group ameajiri wakenya wengi sana kuliko wazawa.


Kilicho niumiza zaidi, wamepewa hadi vibarua vya kukusanya ushuru kwenye stand za magari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…