Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Tumeona miaka yote wananchi wa kawaida wakitumika kama ngazi wakati wa kampeni za uchaguzi, wamekuwa wakivishwa fulana au vitambaa vya kichwani huku wengine wakisimika bendera za vyama vyao mbele ya nyumba zao.
Sasa swali ni hili, baada ya chaguzi hizo kufanyika watu hawa hukumbukwa?
Sasa swali ni hili, baada ya chaguzi hizo kufanyika watu hawa hukumbukwa?