Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Aiseeee !!😀😁😀 Butiku watanzania ni wajinga
Unataka naada ya uchaguzi waajoliwe au wajengewe nyumba?Tumeona miaka yote wananchi wa kawaida wakitumika kama ngazi wakati wa kampeni za uchaguzi, wamekuwa wakivishwa fulana au vitambaa vya kichwani huku wengine wakisimika bendera za vyama vyao mbele ya nyumba zao.
Sasa swali ni hili, baada ya chaguzi hizo kufanyika watu hawa hukumbukwa?
View attachment 1602454
View attachment 1602477
View attachment 1602478
Majungu kama haya na Unafiki kama huu ndiyo mliobaki nao tu Wapinzani wa Tanzania ila siyo Kujijenga na Kutafakari kwanini CCM inawashinda.Tumeona miaka yote wananchi wa kawaida wakitumika kama ngazi wakati wa kampeni za uchaguzi, wamekuwa wakivishwa fulana au vitambaa vya kichwani huku wengine wakisimika bendera za vyama vyao mbele ya nyumba zao.
Sasa swali ni hili, baada ya chaguzi hizo kufanyika watu hawa hukumbukwa?
View attachment 1602454
View attachment 1602477
View attachment 1602478
Ubao wa matangazo huo,wakishaenda Dodoma ni kwamba kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yakeTumeona miaka yote wananchi wa kawaida wakitumika kama ngazi wakati wa kampeni za uchaguzi, wamekuwa wakivishwa fulana au vitambaa vya kichwani huku wengine wakisimika bendera za vyama vyao mbele ya nyumba zao.
Sasa swali ni hili, baada ya chaguzi hizo kufanyika watu hawa hukumbukwa?
View attachment 1602454
View attachment 1602477
View attachment 1602478
hivi hii avatar ya banned ni kweli mnakuwa banned au ni fashoonMiaka 59 ya muungano, bora wakoloni waingereza wangebaki tu, wameacha nchi mikononi mwa chama cha maharamia
Ban zinatembea asaiv kwa kasi ya 5G sio mchezo mkuu, Tuwe makini tu..hivi hii avatar ya banned ni kweli mnakuwa banned au ni fashoon
Unaweza kuta hiyo bangi ndio imekupatia ada halafu unajifanya kuikashifu ukubwani.Hiyo nyumba itakuwa wanauza bangi
nje ya madaMtaniwia radhi wana Yanga.
Lakini kwa sasa CHADEMA hawana utofauti ya Yanga Lia lia.
Naamini wana yanga mmenisamehe kwa hili.View attachment 1602554