Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
Hii tabia ipo na ni mbaya sana sababu mwisho wa siku mtu anaacha biashara ya kuuza gazeti kwa kupata hasara kumbe muuzaji ndiyo anafirisi.
Tanzania kumeibuka mtindo anayeuza gazeti anakodisha kusoma kwa sh 200 badala ya kuuza.
Mtu anasoma baadaye anarejesha na we boss jioni ukija unaambiwa biashara imekuwa mbaya sana na ukiangalia hesabu ziko sawa, gazeti zimedoda.
Nawashauri mtume watu kupeleleza wakijifanya kutaka kukodisha wasome.
Ukimshika uyo fukuza pia ukiajiri mwingine mtishie utakuwa unaweka watu kupeleleza.
Hii tabia inaua biashara za watu muache mara moja na muwe na huruma pia uchungu
Tanzania kumeibuka mtindo anayeuza gazeti anakodisha kusoma kwa sh 200 badala ya kuuza.
Mtu anasoma baadaye anarejesha na we boss jioni ukija unaambiwa biashara imekuwa mbaya sana na ukiangalia hesabu ziko sawa, gazeti zimedoda.
Nawashauri mtume watu kupeleleza wakijifanya kutaka kukodisha wasome.
Ukimshika uyo fukuza pia ukiajiri mwingine mtishie utakuwa unaweka watu kupeleleza.
Hii tabia inaua biashara za watu muache mara moja na muwe na huruma pia uchungu