ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Nyie Mikia FC mnawaza urozi tu.Yaelekea Yanga ilimroga Mayele Hadi Leo hii Bado mguu wake umevimba ππ
View: https://twitter.com/wasafifm/status/1778339085381247069?t=bnGn6nupQacJFTcPDsJGFg&s=19
Anajuta sababu ya YangaNyie Mikia FC mnawaza urozi tu.
Hospital wanasemaje!?mbona fei anacheza na wengine wengi waliondoka yanga na bado wanacheza vizuri kwa Nini iwe kwa Mayele
Nyie Mikia FC mnawaza urozi tu.
Bila kusahau Asha Ngedere, Mariam Biriani na Ashura Rwakatare.Watanzania ni wakalimu sana... Au tuseme wanajua kupamba mnoooo... Wanaweza kukisifu kitu sanaaa... Ila kisiwe na ubora kama wanavyokisifu mfano:-
SGR
Mwendokasi
Masandawana
Mayele
Stand ya magufuli
Na mengine mengiiii...
dah hii dunia kila mtu anamaangaiko yake pole kwake ila anahuakika gani kuwa yanga ndio wamefanya mambo hayo machafu??Yaelekea Yanga ilimroga Mayele Hadi Leo hii Bado mguu wake umevimba ππ
View: https://www.instagram.com/p/C5nckZEs0AO/?igsh=bGt5ZGRjMmV6NGpi
Sababu alifanya makubwaHospital wanasemaje!?mbona fei anacheza na wengine wengi waliondoka yanga na bado wanacheza vizuri kwa Nini iwe kwa Mayele
Wamemharibia mtoto wa watu,Ki awe MakiniDaah.utopolo wamelaniwaππππ
Hapa simba anahusika vipiHayo ndio mambo yanayowafaa nyie mikia. Mkacheze mpira wapi na wapi?. Ukuda,umbea umbea,sample zenu ndio hizo
Wachezaji wanaogopa kuondoka. WatarogwaWamemharibia mtoto wa watu,Ki awe Makini