Hivi Ndivyo Yanga Walifanya Kitu Mbaya Mayele.Awalaani Kwa Nguvu Zote.

Hivi Ndivyo Yanga Walifanya Kitu Mbaya Mayele.Awalaani Kwa Nguvu Zote.

Kwa daktari; udaktari unapaswa uongee zaidi ya maneno.

Kwa mhandisi; uhandisi unapaswa uongee zaidi ya maneno.

Kwa mwanasheria; sheria inapaswa kuongea zaidi ya maneno.

Name them.

Kwa Mayele; mpira ulipaswa uongee kuliko yeye.

He should let his football do the talking.
 
Mnavyozidi kuitaja Yanga kwa mabaya kwa vitu ambavyo hamuwezi kuthibitisha, ndivyo mnavyozidi kuipaisha
Wameshapotea hao. Mpira umewashinda. Labda washikilie kwa nguvu hilo bomba la Mayele liwavushe angalau timu ya pili ili icheze mwakani kimataifa
 
Wameshapotea hao. Mpira umewashinda. Labda washikilie kwa nguvu hilo bomba la Mayele liwavushe angalau timu ya pili ili icheze mwakani kimataifa
Walishawahi letewa Manzoki wakapigia watu kura kilainiii..!! Leo wanahangaishwa na Mayele..!!
 
Back
Top Bottom