Mnavyozidi kuitaja Yanga kwa mabaya kwa vitu ambavyo hamuwezi kuthibitisha, ndivyo mnavyozidi kuipaishaYaelekea Yanga ilimroga Mayele Hadi Leo hii Bado mguu wake umevimba ππ
View: https://www.instagram.com/p/C5nckZEs0AO/?igsh=bGt5ZGRjMmV6NGpi
Mayele anathibitisha na wengine piaMnavyozidi kuitaja Yanga kwa mabaya kwa vitu ambavyo hamuwezi kuthibitisha, ndivyo mnavyozidi kuipaisha
Soma vizuri,simba yupi niliemtaja hapo we kenge?Hapa simba anahusika vipi
Wameshapotea hao. Mpira umewashinda. Labda washikilie kwa nguvu hilo bomba la Mayele liwavushe angalau timu ya pili ili icheze mwakani kimataifaMnavyozidi kuitaja Yanga kwa mabaya kwa vitu ambavyo hamuwezi kuthibitisha, ndivyo mnavyozidi kuipaisha
Kama maneno yake ndo ushahidi kwako, basi kweli nyie ni mbumbumbu FCMayele anathibitisha na wengine pia
Walishawahi letewa Manzoki wakapigia watu kura kilainiii..!! Leo wanahangaishwa na Mayele..!!Wameshapotea hao. Mpira umewashinda. Labda washikilie kwa nguvu hilo bomba la Mayele liwavushe angalau timu ya pili ili icheze mwakani kimataifa
Yanga wamempa TENDE mamaeeeYaelekea Yanga ilimroga Mayele Hadi Leo hii Bado mguu wake umevimba ππ
View: https://www.instagram.com/p/C5nckZEs0AO/?igsh=bGt5ZGRjMmV6NGpi
Simba mnakwenda Kwa matukio. Sasa hivi mnajiliwaza Kwa Mayele badala ya kupambana na timu yenu.Yaelekea Yanga ilimroga Mayele Hadi Leo hii Bado mguu wake umevimba ππ
View: https://www.instagram.com/p/C5nckZEs0AO/?igsh=bGt5ZGRjMmV6NGpi