Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Hivi ndiyo wanafunzi wa Bongo wanavyosafiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina shaka kabisa kusema hii ni vijana wetu wale wanaosoma shule za njia ya kwenda Moro-(Kibaha - Mlandizi). Tabu tubu.
![]()
Hivi ndiyo wanafunzi wa Bongo wanavyosafiri
Na bado tunathubutu kutoa ahadi ya kila mwanafunzi kuwa na computer yake!!!!!!!!??????
charambe-maji matitu, mbagala.
3bln dished to brasil team, very disgusting
Daaa kazi kweli kweli, hao ndio madaktari, maprof, injinia nk wa taifa lijalo, huu haya sio maandalizi mazuri.Tanzania zaidi ya uijuavyo.