Hivi ndo vitanda 8 vya ajabu vinavyo tamba duniani

Joram Dymisster

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2014
Posts
502
Reaction score
429
1 - Hammock Bed



2 - The Hamburger Bed


3 - Ice Bed in the Ice Hotel



4 - The Pirate Ship Bed



5 - Swimming pool bed



6 - Star Wars Eta-2 Jedi Star Fighter bed



7 - The Birds Nest Bed



8 - Underwater Bed



WAWEZA TUMA CHA KWAKO TUKIONGEZE KWENYE LIST.......


chanzo;Priority10News
 
Viambie vitambe kuja na huku getto kwangu
 
Hicho hapo chini ni kitanda cha rais wa zaire marechal mobutu,,enzi zake alikua akibonyeza remote ,hapo chini maji yanaachana,panel zinaachana kitanda kinaibuka kutoka chini,kilikua kinakuja na sanamu mbili za wanawake zilizoitwa "sleep " na "wake" ,kitanda hiki kipo kawele castle huko gbadolite,,maofisa wake wa ulinzi wanasema kabla hajaondoka wakati wa vita aliagiza jumba hili alilolijenga kwa ma million ya euro kulipuliwa,,,kila kitu kiliagizwa from europe
 
What about kitanda cha labour, kitanda cha kubebea maiti(kwa wale waislam watanielewa), kitanda cha kuwekea maiti mochwari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…