Munch wa annabelletz47
JF-Expert Member
- Aug 13, 2019
- 1,885
- 3,227
Hizi ni bei gani na zinapatikanaje?View attachment 3188562Una maana hizo reels au ndoana hooks?
Nataka complete m nikifika ni kuvua tu samakiNdoano Moja ni Tsh mia Moja Tsh 100/=
Wanauza bei gani mkuuMkuu achana na ndoano utateseka bure,kuna haya madude unatega huku unapiga fegi ufukweni au unakuwa una mchumba unamshika shika chuchu baada ya masaa mawili unaenda kutoa mzigo wako,sikosi 10,000 mpaka 20,000 kila siku,siku hz samaki wamepungua lakin zaman tulikuwa tunapata mpaka laki kwa sikuView attachment 3189722
Natumia kama hayo ila yenye mdomo mmoja,ila hii design nimeipenda ya midomo miwili nafikiria kuiunda,huwa tunatia na pumba laini za mpunga
Haya hayauzi,unatafuta mtaalam anakusukia,moja linagharimu mpaka 12,000Wanauza bei gani mkuu
Hao wataalamu ntawapata pande zipi na material napata wap ambayo n mazurHaya hayauzi,unatafuta mtaalam anakusukia,moja linagharimu mpaka 12,000
Upo mkoa gan kwanHao wataalamu ntawapata pande zipi na material napata wap ambayo n mazur
Mkuu shughuli za uvivu ni zipi hizo? 🙄🙄Wakuu nimepata wazo la kua mvuvi lakini nataka nitumie ndoano katika shughuli zangu za uvivu hvo nilikua naulizia ndoano za kisasa na affordable kwa mimi mlala hoi, napia nikapata na bei ya life jacket na deli la kuhifadhia samaki nitashukuru
Tengeneza ndoano mwenyeweWakuu nimepata wazo la kua mvuvi lakini nataka nitumie ndoano katika shughuli zangu za uvivu hvo nilikua naulizia ndoano za kisasa na affordable kwa mimi mlala hoi, napia nikapata na bei ya life jacket na deli la kuhifadhia samaki nitashukuru
Dar es salaamUpo mkoa gan kwan
Mkuu shughuli za uvivu ni zipi hizo?
Mkuu ungenpa wazo ambalo n affordable na naweza pata chochte ktuTengeneza ndoano mwenyewe
Acha uvivu
Btw, Kama Bado unawaza ndoano karne hii ndio ikutoe pole sana
Hizo reels Mkuu zinapatikana huku Bondeni,iliyotumika na size ndogo unaweza pata kuanzia Rand 150 na kuendelea.Hizi ni bei gani na zinapatikanaje?
Inaoneka mkuu shughuli za uvuvi Hauna uzoefu nazo au haujawahi kabisa kuvua. Nakushauli tafuta wavuvi wakusaidie. Hata kama unataka kuvua kama leisure tu.Nataka complete m nikifika ni kuvua tu samaki
AsanteInaoneka mkuu shughuli za uvuvi Hauna uzoefu nazo au haujawahi kabisa kuvua. Nakushauli tafuta wavuvi wakusaidie. Hata kama unataka kuvua kama leisure tu.