Hivi ndoano za kuvulia samaki za kisasa zinauzwa bei gani?

Hivi ndoano za kuvulia samaki za kisasa zinauzwa bei gani?

Mkuu achana na ndoano utateseka bure,kuna haya madude unatega huku unapiga fegi ufukweni au unakuwa una mchumba unamshika shika chuchu baada ya masaa mawili unaenda kutoa mzigo wako,sikosi 10,000 mpaka 20,000 kila siku,siku hz samaki wamepungua lakin zaman tulikuwa tunapata mpaka laki kwa sikuView attachment 3189722
Natumia kama hayo ila yenye mdomo mmoja,ila hii design nimeipenda ya midomo miwili nafikiria kuiunda,huwa tunatia na pumba laini za mpunga
Wapi yanapatikana mkuu?
 
Mkuu achana na ndoano utateseka bure,kuna haya madude unatega huku unapiga fegi ufukweni au unakuwa una mchumba unamshika shika chuchu baada ya masaa mawili unaenda kutoa mzigo wako,sikosi 10,000 mpaka 20,000 kila siku,siku hz samaki wamepungua lakin zaman tulikuwa tunapata mpaka laki kwa sikuView attachment 3189722
Natumia kama hayo ila yenye mdomo mmoja,ila hii design nimeipenda ya midomo miwili nafikiria kuiunda,huwa tunatia na pumba laini za mpunga
Unauza bei Gani?
 
Back
Top Bottom