Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
Wapi yanapatikana mkuu?Mkuu achana na ndoano utateseka bure,kuna haya madude unatega huku unapiga fegi ufukweni au unakuwa una mchumba unamshika shika chuchu baada ya masaa mawili unaenda kutoa mzigo wako,sikosi 10,000 mpaka 20,000 kila siku,siku hz samaki wamepungua lakin zaman tulikuwa tunapata mpaka laki kwa sikuView attachment 3189722
Natumia kama hayo ila yenye mdomo mmoja,ila hii design nimeipenda ya midomo miwili nafikiria kuiunda,huwa tunatia na pumba laini za mpunga
Sisi tunasuka chicken waya mkuu, ni noma!!Haya hayauzi,unatafuta mtaalam anakusukia,moja linagharimu mpaka 12,000
Dar es salaam
Njoo Tabora Igunga tukufundishe kazi!! HutajutiaDar es salaam
Unapatkana wap kakaSisi tunasuka chicken waya mkuu, ni noma!!
mKuu hapo umeniongezea ujuzi mpya maana sisi tunatumia waya za kwenye tyre za magari lakin zinawah sana kuozaSisi tunasuka chicken waya mkuu, ni noma!!
Material yanapatikana mwanza,ila mtaalam wa kusuka yupo sengeremaWapi yanapatikana mkuu?
Uvuvi haramu huo!!Nyie wenzangu hamtumii baruti?
Tutawasiliana niwatumie madogo wapo mganza wawe wanapata japo za vochaMaterial yanapatikana mwanza,ila mtaalam wa kusuka yupo sengerema
Mkuu mm Niko Nkome naomba connection ya mtaalamu wa hapo Singa(Sengerema).Material yanapatikana mwanza,ila mtaalam wa kusuka yupo sengerema
Daaah miaka hiyo nakumbuka naenda na buku napata ndoano kumiView attachment 3188562Una maana hizo reels au ndoana hooks?
Unauza bei Gani?Mkuu achana na ndoano utateseka bure,kuna haya madude unatega huku unapiga fegi ufukweni au unakuwa una mchumba unamshika shika chuchu baada ya masaa mawili unaenda kutoa mzigo wako,sikosi 10,000 mpaka 20,000 kila siku,siku hz samaki wamepungua lakin zaman tulikuwa tunapata mpaka laki kwa sikuView attachment 3189722
Natumia kama hayo ila yenye mdomo mmoja,ila hii design nimeipenda ya midomo miwili nafikiria kuiunda,huwa tunatia na pumba laini za mpunga
Mi siuzi kuna jamaa ndo anayatengeneza kwa moja linagharimu 10,000-12,000Unauza bei Gani?