Hivi Ndugai hawezi kuitwa kwenye kamati ya maadili ya Bunge?

FURY BORN

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2020
Posts
638
Reaction score
1,150
Nadhani ni wakati muafaka kwa Jobo kuitwa kwenye kamati ya maadili ya Bunge ili aeleze kwa nini awamu ya tano hakuwahi kuhoji kuhusu serikali kukopa? Awamu ya tano ilikopa takribani trillion 29, leo anahoji serikali ya mama kukopa
 
Nadhani ni wakati muafaka kwa Jobo kuitwa kwenye kamati ya maadili ya Bunge ili aeleze kwa nini awamu ya tano hakuwahi kuhoji kuhusu serikali kukopa? Awamu ya tano ilikopa takribani trillion 29, leo anahoji serikali ya mama kukopa
Mheshimiwa Ndugai ana muonea Mama Rais wetu mpole hakuweza kumfanyia simba wanyika RIP Magufuli angelikwenda na maji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…