Hivi neno "UNYAMA" lina maana gani?

Hivi neno "UNYAMA" lina maana gani?

Kanungila Karim

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2016
Posts
20,743
Reaction score
25,564
Habari zenu.

Siku za hivi karibuni kumezuka kuwepo kwa neno"UNYAMA". Mfano mtu anamuliza Extrovert
"Wee jamaa mbona hela yangu haunilipi tangu nikukope?"
Extrovert anajibu "huku ni unyama unyama mwanangu"


Hivi ili neno "unyama" lina maana gani?
 
Habari zenu.

Siku za hivi karibuni kumezuka kuwepo kwa neno"UNYAMA". Mfano mtu anamuliza Extrovert
"Wee jamaa mbona hela yangu haunilipi tangu nikukope?"
Extrovert anajibu "huku ni unyama unyama mwanangu"


Hivi ili neno "unyama" lina maana gani?
Mi nitaeleza ninavyoelewa.

Mkuu ulishawahi kuota unakimbizwa halafu miguu inakuwa mizito huwezi kukimbia..? Basi huo ndo unyama na unyama unyamani ni ile katika kukimbizwa huko ukadondoka haloo unaweza jikojolea kitandani kabisa kuonyesha unyama zaidi.
 
Mi nitaeleza ninavyoelewa.

Mkuu ulishawahi kuota unakimbizwa halafu miguu inakuwa mizito huwezi kukimbia..? Basi huo ndo unyama na unyama unyamani ni ile katika kukimbizwa huko ukadondoka haloo unaweza jikojolea kitandani kabisa kuonyesha unyama zaidi.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Habari zenu.

Siku za hivi karibuni kumezuka kuwepo kwa neno"UNYAMA". Mfano mtu anamuliza Extrovert
"Wee jamaa mbona hela yangu haunilipi tangu nikukope?"
Extrovert anajibu "huku ni unyama unyama mwanangu"


Hivi ili neno "unyama" lina maana gani?
unyama una maana nyingi sana
1. kumfanyaia mtu viendo vya kikatili mfano ,,''kamuua kinyama sana''
2. Kufanya kitu kama mpinzani wako alicho kufanyia mfano mtu alikudhurumu pesa yako na wewe siku ukakutana naye ukachukua viatu vyake utasikikia hapa unyama unayama tuu
3.Kuwa na hali fulani ya juu inaweza kuwa namna ya uvaaji , au gari zuri au kitu chochote kizuri ambacho mtu anakikubali utasikia ..yule jamaa ana unyama sana huwezi kulinganisha na huyu boya
 
unyama una maana nyingi sana
1. kumfanyaia mtu viendo vya kikatili mfano ,,''kamuua kinyama sana''
2. Kufanya kitu kama mpinzani wako alicho kufanyia mfano mtu alikudhurumu pesa yako na wewe siku ukakutana naye ukachukua viatu vyake utasikikia hapa unyama unayama tuu
3.Kuwa na hali fulani ya juu inaweza kuwa namna ya uvaaji , au gari zuri au kitu chochote kizuri ambacho mtu anakikubali utasikia ..yule jamaa ana unyama sana huwezi kulinganisha na huyu boya

[emoji16][emoji16][emoji16]shukrani sana mzee
 
Habari zenu.

Siku za hivi karibuni kumezuka kuwepo kwa neno"UNYAMA". Mfano mtu anamuliza Extrovert
"Wee jamaa mbona hela yangu haunilipi tangu nikukope?"
Extrovert anajibu "huku ni unyama unyama mwanangu"


Hivi ili neno "unyama" lina maana gani?

Bonge la songi yaan unyama mwingi babu

Doing something beyond expected standards

Unyama yaan show show
Kazi kazi
Show kali
Piga kazi kwa viwango vya kutisha
 
Mi nitaeleza ninavyoelewa.

Mkuu ulishawahi kuota unakimbizwa halafu miguu inakuwa mizito huwezi kukimbia..? Basi huo ndo unyama na unyama unyamani ni ile katika kukimbizwa huko ukadondoka haloo unaweza jikojolea kitandani kabisa kuonyesha unyama zaidi.
Mkuu uko na unyama mwingi sana aisee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom