Hivi ngono ni hitaji la lazima?

Hivi ngono ni hitaji la lazima?

Jifunze biology ya miili ya binadamu Kuna watu wana extra hormones zinazowapelekea kufanya ngono kutwa..wakikosa madanguro watabaka mitaani...ndo maana dunia nzima kuna madanguro na serikali zinajifanya hawaoni

My boss
Hawa wanakuwa wamekosa girlfriends mpaka wakanunue?
 
Wanafunzi wanaosoma shule za jinsia moja boarding ndio wenye maelezo mazuri ya shida zitokanazo..... waulize watoto wa kibosho girls ama machame girls watakwambia... pia wale wa kill boys ama oldmoshi hawa wapo mjini sana wanaweza wasijue.. waulize wazee wa Kigonsera boys ama Kygo boy kama wanavyo jiita... watakuambia. Ile kitu ni kwereee ati mbureee..

Sijawahi kuona kuna mwanamke anatafuta mwanaume anunue ngono.
Tatizo lipo kwa wanaume hasa.
Hawa wanawake wanaouza ni kwaajili ya fedha tu
 
Nishakwambia wale washkaji pale zakhem kituoni wakikutongoza utawakubaliii? Sasa waponee wapi? Na wengine wenzangu na mie domo lenta nini zege... nikutafuta pesa pesa itasaidia kuondoa shidaaa. Na wao wajione vidume. Satsfaction iliyo tolewa sawa na wao waifaidiii. Kama unabisha kesho jitolee kwa teja mmoja kituoni kwako uone kama ataenda tena kule. Kumradhi ashakhum si matusi.
 
Excel
Asante
Ila nazungumzia ngono kwa ujamla Wake hasa hawa wateja wa ngono kama biashara? Wanashida gani kichwani? Mpaka ufunge safari kwenda kwenye danguro na kusubiriana kwenye foleni.
wengi wao utakuta wana mahitaji maalum madam, either

1. utakuta wana matatizo ya kipesa, that they cant handle a woman because they fear expenses.. or

2. kwa wale wenye uwezo napo, wana matatizo yao kulingana na range ya maisha waliopo... they want to be free from being disturbed by one woman.. hivyo hutaka wanunue tu kila ladha wanayojisikia..
 
Kuna kipindi kilikuwa kinaitwa changamoto kilikuwa kinarushwa na channel 10 wanaume waliohojiwa kwa nini wananunua ngono walidai kwanza ni cheap yaani hakuna kwenda guest, mara umnunulie chakula au bia huyo dem, hauitaji kupiga sound, hakuna maswala ya vocha, kodi ya chumba wala hela ya matumizi na kugandana km ruba na wale domo zege ndo wanapendelea hii biashara! Kimsingi ngona sio hitaji la lazima ni kukosa kazi tu na kuishia mihemuko! Kwa wale waliopitia depo wanajua baada ya suruba na kazi nzito hata ukiletewa dem utaishia kumtazama tu! Wabeba zege baada ya kazi huwa hawatamani dem! Kuna umuhimu wa kufanya mapenzi lakini si kuendekeza na kama ugali
 
Sijawahi kuona kuna mwanamke anatafuta mwanaume anunue ngono.
Tatizo lipo kwa wanaume hasa.
Hawa wanawake wanaouza ni kwaajili ya fedha tu

Tatizo au hitaji ni kwa jinsia zote ila sababu za kimaumbile zinawapendelea zaidi wanaume kuliko jinsia KE...........haistaajabishi sana kwa mwanaume kumuangalia mwanamke isivyo kawaida, kumuita, kumsalimia na hatimae kumtongoza........na hitimisho lake (of coz) ni hitaji la ngono.

So, wana jinsia ke wanapoamua "kuuza" ni KUtake advantage tu ya mazingira hayo.......kwani tayari wana uhakika kuwa zitanunuliwa.

Tofauti na jinsia me, jinsia ke hulazimika kutumia mbinu mbadala....na kutokana na mfumo dume kutokuwapa uhuru wa kujifaragua, basi wao hutegemea sana wakati na mazingira waliyopo.......

Kwa mfano ni rahisi sana kwa mwanajinsia ke KUMseduce mwanaume (hata kama ni mume wa mtu) wanayepanga naye nyumba moja (wapangaji)...au anayefanya naye kazi sehemu moja......kuliko kumfanyia hivyo mtu asiyemfahamu kabisa atakayekutana naye tu njiani.

......HITIMISHO.........wote tuna mahitaji haya ya lazima sawa, ila mfumo unakandamiza jinsia moja.
 
ngoja nkupe darasa kuhusu, ngono, mapenzi na hisia ilo ndan ya mtu kupelekea mpaka mvulana akanunua uke, kwanza ngono ni jina linalowakilisha wa2 wanaojamiiana anaweza kuwa mme au ke.. au mme kwa mme, n.k kwaiyo iki kitendo n cha lazima kwa wote.. co mvulana 2 ata ww kama hauna mme wakukutimizia hitaji la mapenz kingono unaweza ukafanya ngono ata na tangooo... kwa nn? hali hii ipo kwa binadamu na dhani una faham shahawa na mbegu za mwanamke ambayo inapelekea mpaka mm na ww 2kawepo... utokaji wa vitu hivyo viwil n 7bu ya mapenz yaliyopo ndan ya akili ya m2, na nilazima v2 hivyo vitoke kwa kufanya ngono na mengineyo... uko mbagala wataxema 2 n bei rahisi lakin ukwel n kwamba iyo ni tabia ya hisia ya mapenz ambayo kila m2 anayo bali wengine wanafanya n biashara... ata ukiwahuliza wameingiza shlingi ngap kwa cku wakati wanatenda lile tendo hawataweza kukuambia ni kiasi gan mpaka amalize ndo atakuambia... kwaiyo iyo n tabia ya lazima ambayo mm na ww 2nayo ila co buyer au saler wa ki2 hicho.. kuna k2 umepata
 
usipokuwa makin kesho utasema hev kunya lazima,sasa ww mungu alikiumba hicho kidude cha nn ww,au unataka uwekage maji humo,au kama ni fimbo uweke kamba uvute gar
 
Kutimiza hitaji hili inakubidi ujitoe akili ama?
Unanunuaje ngono? Kwa limtu usilolijua?

hitaji la muhimu kwa kungonoka? Aha wap!, tamaa za miili tu hizo hazina umuhimu wowote, zaidi ya kuleta lawama, magonjwa na usaliti baina ya watu!
 
Wadau wa jukwa hili natumaini hamjambo na kwale waliopata na misukosuko ya mafuriko poleni sana.

Nina swali langu hili.
Baada ya kusoma yale yanayoendelea Mbagala Zakhem watu kufanya ngono mchana kweupe na kununua kwa tsh 3000 na watu kupanga foleni kusubiri zamu zao na wengine hufanya wakiwa 20 kwenye chumba kimoja.
Nikaendelea kutafakari madanguro na wadada wanaojiuza na kuweza kupata wateja wa kununua ngono, nikatafakari ubakaji, kungonoka na wanyama au mwanaume mwenzako nimebaki nimechanganyikiwa na kujiuliza hivi ngono ni hitaji la muhimu kama ilivyo chakula ambapo mtu akikosa anaweza kufa? Ni tendo la lazima ambalo mtu hasa huyu mwanaume akilikosa hupungukiwa na kitu mwilini? Ama ni starehe? Au tendo la UPENDO
Nimeshindwa kuelewa, nimepatwa na msongo wa mawazo ghafla.
Hivi nisipokutana na boyfriend ama mume wangu kwa mwezi ama miezi what should I think?
Hivi nyie wanaume hamuwezi kuvumilia mpka mkanunue ngono kwa wauzaji?
Naam it's sweet
 
Kiasili, Mwanadamu ana matamanio matatu makuu;
1.Kula
2.Sex
3.Kumiliki Mali/ kuwa kiongozi

Kuhusu ngono Ni hitaji muhimu Sana especially kwa jinsia ME ila sio la lazima.Naamisha mtu anaweza kuishi vizuri tu bila kushiriki ngono na asipate Matatizo yoyote.
 
Back
Top Bottom