Englishlady
JF-Expert Member
- Apr 11, 2013
- 2,736
- 3,644
- Thread starter
-
- #21
Jifunze biology ya miili ya binadamu Kuna watu wana extra hormones zinazowapelekea kufanya ngono kutwa..wakikosa madanguro watabaka mitaani...ndo maana dunia nzima kuna madanguro na serikali zinajifanya hawaoni
hilo swal muulize mung maana me naona hisia za mtu ndio zinampeleka puta
Wanafunzi wanaosoma shule za jinsia moja boarding ndio wenye maelezo mazuri ya shida zitokanazo..... waulize watoto wa kibosho girls ama machame girls watakwambia... pia wale wa kill boys ama oldmoshi hawa wapo mjini sana wanaweza wasijue.. waulize wazee wa Kigonsera boys ama Kygo boy kama wanavyo jiita... watakuambia. Ile kitu ni kwereee ati mbureee..
wengi wao utakuta wana mahitaji maalum madam, eitherExcel
Asante
Ila nazungumzia ngono kwa ujamla Wake hasa hawa wateja wa ngono kama biashara? Wanashida gani kichwani? Mpaka ufunge safari kwenda kwenye danguro na kusubiriana kwenye foleni.
My boss
Hawa wanakuwa wamekosa girlfriends mpaka wakanunue?
Sijawahi kuona kuna mwanamke anatafuta mwanaume anunue ngono.
Tatizo lipo kwa wanaume hasa.
Hawa wanawake wanaouza ni kwaajili ya fedha tu
Kutimiza hitaji hili inakubidi ujitoe akili ama?
Unanunuaje ngono? Kwa limtu usilolijua?
Naam it's sweetWadau wa jukwa hili natumaini hamjambo na kwale waliopata na misukosuko ya mafuriko poleni sana.
Nina swali langu hili.
Baada ya kusoma yale yanayoendelea Mbagala Zakhem watu kufanya ngono mchana kweupe na kununua kwa tsh 3000 na watu kupanga foleni kusubiri zamu zao na wengine hufanya wakiwa 20 kwenye chumba kimoja.
Nikaendelea kutafakari madanguro na wadada wanaojiuza na kuweza kupata wateja wa kununua ngono, nikatafakari ubakaji, kungonoka na wanyama au mwanaume mwenzako nimebaki nimechanganyikiwa na kujiuliza hivi ngono ni hitaji la muhimu kama ilivyo chakula ambapo mtu akikosa anaweza kufa? Ni tendo la lazima ambalo mtu hasa huyu mwanaume akilikosa hupungukiwa na kitu mwilini? Ama ni starehe? Au tendo la UPENDO
Nimeshindwa kuelewa, nimepatwa na msongo wa mawazo ghafla.
Hivi nisipokutana na boyfriend ama mume wangu kwa mwezi ama miezi what should I think?
Hivi nyie wanaume hamuwezi kuvumilia mpka mkanunue ngono kwa wauzaji?