Hivi ni akili au matope!

Hivi ni akili au matope!

Vituka

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2011
Posts
2,266
Reaction score
1,264
Inakuwaje wewe kijana wa kiume unaishi kwa kakayako, naye ana mke. Wewe uko pale kwa vile umeshindwa shule, sasa unafanya kuungaunga walau upate pa kujishikiza. Kaka yako na mtoto mdogo, akaamua atafute house girl wa kumsaidia mkewe hasa awapo kazini. House girl ni mchapa kazi sana na anamheshimu kakao na mkewe. Wewe kijana wa kiume ambaye umeonewa huruma na kakako, na kuchukua zigo la kukusomesha unaanzisha mahusiano ya kimapenzi ndani ya nyumba ya kakako na house girl.

Kwa vile huwa unaenda shule, wamdanganya mtoto wa watu kuwa unasoma chuo kikuu kumbe unareseat mitihani ya form foru. Halafu kibaya zaidi mnafanya mapenzi humo humo ndani kwa kaka yako, usiku wakati wao wamelala. Kibaya zaidi unamshauri huyo demu aondoke coz hujisikii vizuri kumuona akiwa house girl (mbaya zaidi ze comedy wanapowaitaga ma beki tatu).

House girl anataka kuondoka ghafla tu na hali shemeji yako yupo kazini na hategemei kupata likizo. Jamani, hivi ndugu zetu nyie tuache kuwasaidia?Huko mnakosoma na kuzurura hamkuwaona wadada tena warembo kuliko housegirls?Ni adabu kweli kugeuza nyumba ya kaka yako guest house, sometimes mchana wapo kazini nyie mnafanya starehe zenu?

Kwa wale wote wenye tabia hii nawaomba muache.:hatari:
 
Hivi unapoandika muda huu bado unaendelea kumlisha tu?
Aondoke, kama ni ada umtumie kwa Mpesa!
 
Kusema kweli sijaona kundondokeana kimapenzi inaingiliana vipi na mmoja wao kua house gal na mwingine kua mzigoa kwa kakake (as you call it) Hebu iangalie kwa upande huu....

House gal ni binti mzuri na mastaarabu na katulia, na ni binti ambae kama mabinti wengine once in a while fall in Love... Anachapa kazi, ana adabu (as per your say); Huyo kijana anakosa gani kumpenda huyo binti? Kwamba sababu ni binti wa kazi hana feelings za mapenzi ama hastahili kupendwa?

Haya basi yaelekea kijana kweli kampenda binti kwa dhati.... Na twaelewa kua a true man always wants what is best for her lady... Wee mwenyewe hapo wasema mahouse gal wanajina lingine (obviously intended at mocking) la beck tatu.... Je kuna mwanaume ambae anampenda kweli mwanamke wake atataka awe house gal?

IMO makosa ambayo naona anayo kijana ni haraka yake.... Kama kweli awategemea kaka na shemejie na ndio anarudia form four; yupo faster saana... Anamshauri huyo binti aondoke aende wapi na atamsaidia vipi? Hata hivo huo ni mtazamo wangu tu....
 
Kwanza huyo fomu foo na hausi gelo hawawezi soma jf, ujumbe hauwafikii.

Afu huyo mdogo mtu hadi kufikia point hiyo mmemdekeza wenyewe.
Ningekuwa mie, angeshaisoma namba siku nyiiiingi.
 
Sasa unafuga ugonjwa... Timua huyo mfitini arudi kwa mama yake akafanyie ushenzi huko

Kuwabeba ndugu ni kitu kizuri ila mara nyingine ni mzigo mzito kupitiliza!
Unaweza kuishia selo bureeeeeeeee
!!Najaribu kupata picha, huyo mshenzi angekuwa kwangu,
ningemuachia Mungu na daktari wamuokoe.
 
housegirl nae anahitaji kupashwa kidogo mwili wake, jamani nae ni mwanamke kama nyinyi, anatamani ile kitu kama nyinyi msimuonee eti katembea na mdogo wa bosi wake
 
Kusema kweli sijaona kundondokeana kimapenzi inaingiliana vipi na mmoja wao kua house gal na mwingine kua mzigoa kwa kakake (as you call it) Hebu iangalie kwa upande huu....

Mpaka hapo tuko pamoja da Asha
House gal ni binti mzuri na mastaarabu na katulia, na ni binti ambae kama mabinti wengine once in a while fall in Love... Anachapa kazi, ana adabu (as per your say); Huyo kijana anakosa gani kumpenda huyo binti? Kwamba sababu ni binti wa kazi hana feelings za mapenzi ama hastahili kupendwa?

Da Asha nakuheshimu sana.Usitake heshima yangu ipungue kwa hicho ulichosema hapi juu.Huyo HS naha ustaarabu wowote kufanya hicho anachikifanya kazini kwake! Kijana naye ana kosa kuwasaliti wafadhili wake kwa kumvuruga HG akiwa kazini na kumshauri aache kazi ili asiwe HG tena!

Haya basi yaelekea kijana kweli kampenda binti kwa dhati.... Na twaelewa kua a true man always wants what is best for her lady... Wee mwenyewe hapo wasema mahouse gal wanajina lingine (obviously intended at mocking) la beck tatu.... Je kuna mwanaume ambae anampenda kweli mwanamke wake atataka awe house gal?

Its the principle da Asha ! Ni suala la nidhamu na pia kutokuvunja uaminifu! Kupenda kupo siku zote haijalishi. Lakini huyu mkaka anachanga mapenzi kwenye eneo nyeti - kafadhiliwa.He cannot breach trust! Atafute HG wa jirani ampende kama ni mtaalam wa kudondokea HGs.Usaliti utaenda nje ya mipaka ya familia.Imagine wewe una watoto, umepata HG ukamwamini na akaweza kukufanyia kazi zako ukakaa na amani.Halafu mtu wa ndani anamrubuni ungejisikiaje? Ningemuona wa maana kama baada ya kumpenda HG, angethubutu kumwambia kaka yake kuwa kaka, nimempenda huyu dada wa kazi, nataka kumuoa.Hapa angekuwa ameweka nia wazi na hata kama kuna kukasirika, ingekuwa haina maana na angesamehewa.Hili la kufanya mambo ya aibu kwenye giza ndilo ninalipinga. Mapenzi hayajalishi nampenda nani maana hata HG ni wanawake kama wengine.Wana haki ya kupendwa na kupenda.Hujasikia hata makazini, wale wanaofanya mapenzi kazini kuna suala la kukiuka maadili?

IMO makosa ambayo naona anayo kijana ni haraka yake.... Kama kweli awategemea kaka na shemejie na ndio anarudia form four; yupo faster saana... Anamshauri huyo binti aondoke aende wapi na atamsaidia vipi? Hata hivo huo ni mtazamo wangu tu....
Hapo bold tuko pamoja sana.Na kama hali ni hii wote HG na kijana ni wajinga wasio na mfano.Ni kama vipofu wawili wanaelekezana njia.Hapo hakuna mwenye mwelekeo wa maisha wa kumsaidia mwingine bali wametawaliwa na tamaa za mwili tu hakuna lolote.
 
wakati anamwambia aondoke asiondoke hivi hivi bila mimba,atlsist kijana abebeshwe mzigo wa kuoa.
 
Kusema kweli sijaona kundondokeana kimapenzi inaingiliana vipi na mmoja wao kua house gal na mwingine kua mzigoa kwa kakake (as you call it) Hebu iangalie kwa upande huu....

House gal ni binti mzuri na mastaarabu na katulia, na ni binti ambae kama mabinti wengine once in a while fall in Love... Anachapa kazi, ana adabu (as per your say); Huyo kijana anakosa gani kumpenda huyo binti? Kwamba sababu ni binti wa kazi hana feelings za mapenzi ama hastahili kupendwa?

Haya basi yaelekea kijana kweli kampenda binti kwa dhati.... Na twaelewa kua a true man always wants what is best for her lady... Wee mwenyewe hapo wasema mahouse gal wanajina lingine (obviously intended at mocking) la beck tatu.... Je kuna mwanaume ambae anampenda kweli mwanamke wake atataka awe house gal?

IMO makosa ambayo naona anayo kijana ni haraka yake.... Kama kweli awategemea kaka na shemejie na ndio anarudia form four; yupo faster saana... Anamshauri huyo binti aondoke aende wapi na atamsaidia vipi? Hata hivo huo ni mtazamo wangu tu....

Mkuu well said lakini anapokosea huyu mdogo mtu anaesaidiwa ni kumshauri aondoke wakati hawezi kumfanyia msaada wowote. So wenye tabia za ushauri negative kama huu ni vyema wabadilike. Also True love siku zote zinakwenda na kuwa mkweli so ni bora mdogo mtu hapa awa mwazi ili nae mwenzake akajua jins ya kujiandaa na kujipanga kama wana mpango wa kujaishi pamoja
 
Kusema kweli sijaona kundondokeana kimapenzi inaingiliana vipi na mmoja wao kua house gal na mwingine kua mzigoa kwa kakake (as you call it) Hebu iangalie kwa upande huu....

House gal ni binti mzuri na mastaarabu na katulia, na ni binti ambae kama mabinti wengine once in a while fall in Love... Anachapa kazi, ana adabu (as per your say); Huyo kijana anakosa gani kumpenda huyo binti? Kwamba sababu ni binti wa kazi hana feelings za mapenzi ama hastahili kupendwa?

Haya basi yaelekea kijana kweli kampenda binti kwa dhati.... Na twaelewa kua a true man always wants what is best for her lady... Wee mwenyewe hapo wasema mahouse gal wanajina lingine (obviously intended at mocking) la beck tatu.... Je kuna mwanaume ambae anampenda kweli mwanamke wake atataka awe house gal?

IMO makosa ambayo naona anayo kijana ni haraka yake.... Kama kweli awategemea kaka na shemejie na ndio anarudia form four; yupo faster saana... Anamshauri huyo binti aondoke aende wapi na atamsaidia vipi? Hata hivo huo ni mtazamo wangu tu....

Nadhani umeeleza vizuri, ingawa nia yangu sio kuunga mkono uhusiano wa namna hiyo. Wao kama binadamu pia wanaweza kupendana, upendo kama mjuavyo huwa unawafanya watu wawe vipofu, ndio maana unaona wanafanyana humo ndani ya nyumba, halafu hata hivyo unategemea waende wapi?, Guest? Hawawezi kumudu. Siungi mkono mapenzi yasiyo ya ndoa, lakini ninachotaka kusema ni kwamba mtoa mada ulitakiwa ukae nao uzungumze, uwaelimishe na kuwaonya kwa upendo kuhusu hizo tabia na madhara yake. Kwa rika lao hilo ni mambo ambayo unaweza kutarajia.
 
Kwanza huyo fomu foo na hausi gelo hawawezi soma jf, ujumbe hauwafikii.

Afu huyo mdogo mtu hadi kufikia point hiyo mmemdekeza wenyewe.
Ningekuwa mie, angeshaisoma namba siku nyiiiingi.

Hata kama hawezi ingia humu Jf ila inawezakutumika kama fundisho kwa walio humu Jf
 
kuwabeba ndugu ni kitu kizuri ila mara nyingine ni mzigo mzito kupitiliza!
Unaweza kuishia selo bureeeeeeeee
!!najaribu kupata picha, huyo mshenzi angekuwa kwangu,
ningemuachia mungu na daktari wamuokoe.

suala kama hili ni vyema kutumia busara zaidi ili ufanye umuzi ambao mtu hutokuja jutia
 
Hivi unapoandika muda huu bado unaendelea kumlisha tu?
Aondoke, kama ni ada umtumie kwa Mpesa!

hahahaha PJ
atume kwa airtel money or tigo pesa
watu wengine wapenda kufundisha wenzao kutenda mabaya
 
housegirl nae anahitaji kupashwa kidogo mwili wake, jamani nae ni mwanamke kama nyinyi, anatamani ile kitu kama nyinyi msimuonee eti katembea na mdogo wa bosi wake
respect nitonye!!!! kwanza ukimkawiza beki tatu anaweza akampa mpemba wa gengeni..then hata bro akakuona waubaridi!!!
 
Kusema kweli sijaona kundondokeana kimapenzi inaingiliana vipi na mmoja wao kua house gal na mwingine kua mzigoa kwa kakake (as you call it) Hebu iangalie kwa upande huu....

House gal ni binti mzuri na mastaarabu na katulia, na ni binti ambae kama mabinti wengine once in a while fall in Love... Anachapa kazi, ana adabu (as per your say); Huyo kijana anakosa gani kumpenda huyo binti? Kwamba sababu ni binti wa kazi hana feelings za mapenzi ama hastahili kupendwa?

Haya basi yaelekea kijana kweli kampenda binti kwa dhati.... Na twaelewa kua a true man always wants what is best for her lady... Wee mwenyewe hapo wasema mahouse gal wanajina lingine (obviously intended at mocking) la beck tatu.... Je kuna mwanaume ambae anampenda kweli mwanamke wake atataka awe house gal?

IMO makosa ambayo naona anayo kijana ni haraka yake.... Kama kweli awategemea kaka na shemejie na ndio anarudia form four; yupo faster saana... Anamshauri huyo binti aondoke aende wapi na atamsaidia vipi? Hata hivo huo ni mtazamo wangu tu....

dada asha tuko pamoja ila ambako sijapendezewa ni kijana kumwambia binti aondoke,sababu naona kama kuna uwezekano wa kijana kumyumbisha huyu binti sbb kijana angekua na kazi ya kumwezesha kwenda kumpangishia binti mahala ili asiwe housegirl hapo ningemuelewa lkn kijana mwenyewe kula yake ya kusaidiwa,pili sijafurahi kumwambia binti aondoke ilhali kijana anajua fika kwamba binti ndiye msaada mkubwa hapo home na akiondoka shemeji yake atapata shida ukichukulia siku hiz ni shida kuwapata hawa mabinti.Tatu kwa nin hapend kuona binti akiwa hapo kama housegirl wkt uhousegirl si kosa la jinai wala dhambi kwa kauli hiyo inaonesha kijana anamdharau binti kwa kuona uhousegirl ni kitu cha aibu.Yeye kijana na huyo binti kupendana ndani ya nyumba ya kaka wa kijana sion tatizo juu ya hiyo,hata kama kijana bado analelewa bado ana haki ya kupenda ila tu anapodanganya yuko chuo kikuu ilhal anareseat form four na anavyomwambia binti aondoke inanitia mashaka kuwa anataka binti aondoke labda kisha amtose maana labda kijana anaona binti akiendelea kuishi hapo anaweza siku moja kugundua kuwa si kweli kuwa anasom chuo kikuu.
 
Back
Top Bottom