Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Mkuu una roho ngumu sana. Yaani mechi ambayo yanga haichezi, unavaa kabisa jezi ya njano unaenda kwa mchina?Wamebaki CAF Confederation
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu una roho ngumu sana. Yaani mechi ambayo yanga haichezi, unavaa kabisa jezi ya njano unaenda kwa mchina?Wamebaki CAF Confederation
Madai yako nawe ni mchambuzi wa soka. [emoji23][emoji23][emoji23]Kama mitishamba inafanyakazi kwenye mpira basi Simba wafanye hivyo, bila kupepesa maneno Siioni simba ikipata sare pale Taifa kwenye uwanja mzuri na mkubwa kama ule. Tuombe Mungu simba wasipigwe 3 au 4. Ila katika hali ya kawaida kabisa bila ushabiki Simba atafungwa.
Njoo ukane maneno yako hayaKama mitishamba inafanyakazi kwenye mpira basi Simba wafanye hivyo, bila kupepesa maneno Siioni simba ikipata sare pale Taifa kwenye uwanja mzuri na mkubwa kama ule. Tuombe Mungu simba wasipigwe 3 au 4. Ila katika hali ya kawaida kabisa bila ushabiki Simba atafungwa.
Moja mimi ni Yanga damu. Pili mimi ni mpenzi wa footballMkuu una roho ngumu sana. Yaani mechi ambayo yanga haichezi, unavaa kabisa jezi ya njano unaenda kwa mchina?
Km nakuona ulivyokunja sura juzi baada ya mechi kumalizikaKama mitishamba inafanyakazi kwenye mpira basi Simba wafanye hivyo, bila kupepesa maneno Siioni simba ikipata sare pale Taifa kwenye uwanja mzuri na mkubwa kama ule. Tuombe Mungu simba wasipigwe 3 au 4. Ila katika hali ya kawaida kabisa bila ushabiki Simba atafungwa.
Lete mrejesho mkuuTena kwa beki ya wawa na kipa pazia[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Leta Uzi mwingine mkuu huu umepoteza maana wew umekula ukashiba unaleta Uzi unaolekea kwako chambua tactically si kubez upande wakoBaada ya simba kupata gori moja na mpira kuisha mashabiki wa Simba walifurah sana swali hv Nkana wanawaaonaje kwamba itakuwa rahsi kuwafunga mechi ya marudiano
Wanaiita roho ya paka hawa [emoji196][emoji196][emoji196] ni shida sanaMkuu una roho ngumu sana. Yaani mechi ambayo yanga haichezi, unavaa kabisa jezi ya njano unaenda kwa mchina?
Wakati mwingine sio roho ngumu bali uvivu wa kufikiri.Mkuu una roho ngumu sana. Yaani mechi ambayo yanga haichezi, unavaa kabisa jezi ya njano unaenda kwa mchina?
Tupo bado tunajipongeza kwa ushindi wetu wa magoli ya kitaalam haswa.
watu hafurahii kipigo watu wanafurah kupata gor la ugenini just kutafuta one gor wakija dar....tofaut na ingekuwa 2 ina mana simba atafute gor 3 au 2 ili iwe sare mkuu
eti eeeenh!!!!Kama mitishamba inafanyakazi kwenye mpira basi Simba wafanye hivyo, bila kupepesa maneno Siioni simba ikipata sare pale Taifa kwenye uwanja mzuri na mkubwa kama ule. Tuombe Mungu simba wasipigwe 3 au 4. Ila katika hali ya kawaida kabisa bila ushabiki Simba atafungwa.