Chanazi
JF-Expert Member
- Apr 1, 2010
- 212
- 64
Kuna jambo linanitatiza wana JF...
Hivi Hotel ngapi/zipi zilikua za serikali ya Jamuhuri ya Muungano ambazo zilitaifishwa kwa wawekezaji? Performance za hizi hoteli baada ya kubinafsishwa zikoje??
me nazifahamu chache za hapa mjini, kama Embassy, kilimanjaro,Gogo Hotel,New Africa Hotel, Dodoma Hotel ya Dom, Mount Meru Hotel,...
Nipatieni Majibu niutue mzigo watanzania wenzangu
Hivi Hotel ngapi/zipi zilikua za serikali ya Jamuhuri ya Muungano ambazo zilitaifishwa kwa wawekezaji? Performance za hizi hoteli baada ya kubinafsishwa zikoje??
me nazifahamu chache za hapa mjini, kama Embassy, kilimanjaro,Gogo Hotel,New Africa Hotel, Dodoma Hotel ya Dom, Mount Meru Hotel,...
Nipatieni Majibu niutue mzigo watanzania wenzangu