Hivi ni jibu gani uliwahi mpa mtu PM akakuchunia mazima?

Bila shaka hao wanakuwa ni wageni. Unaanzaje tu out of nowhere kuingia PM ya mdada humu ? Kuna stages za kuingia PM ya mdada ili usikutane na kikwazo. Kwanza anza kulike comments zake, kucomment comments zake, kubaliana na hoja zake. Taratibu tu ataanza zoea jina lako. Siku hamishia moja ya mada mlizochangia wote PM, taratibu mnageuka washikaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…