πHaha.!
Kuliko ubunu hiyo mbunu, it's better utumie ile yako yenye mistari mikali na madini ya kutosha.!!
Kuhusu swali lako, 'Life ain't that serious and complicated always rafiki..!
Hahahaaa. Lol.π π
Ahsante dada angu mzuri, nitakuja siku moja kukusema wewe hapa na hutokaa ujue kuwa ni wewe dada, hata baada ya miaka 100,
You raise no fool.!!
On a serious note,π
Naruhusiwa kuja piemu kuja kukupiga msasa kiswahili maana huko kubunu mbunu mwizio siwezi!!,nimekuwa taabani juu yakoπ
Nifungulie mlango nikuonyeshe mapango.. sema nami binti malkia nikuonyeshe unavyonivutia!
Kaa nami nikuite dia uone mlango wa rupia..
Wasemaje binti Carleen ulieumbika kimaumbile mpaka chini..??π
π³On a serious note,
Hivii Kenzy umewahi waza kutumia hiyo kipaji uko nayo.!??
I am impressed.!!2017
Yeye:"Ujue wewe miminimkulimaakachekasana ni muongo πππ"
Mimi:"Kwanini mrembo?"
Yeye:"Wewe sio mkulima kama unavyodanganya watu.Ujue kuna uzi mmoja uliweka namba yako ya simu,nikacheki whatsapp mpaka jina lako najua na ig yako naijua"
Mimi:"Mkuu dah sawa umenishika,lakini ujue hata Behaviourist sio muumini wa πΈ ni utani tu"
Yeye:"pumzika kesho nitakucheki"
2021
Nashukuru JAMIIFORUMS kwa kunisaidia kupata Jiko
Nashukuru JAMIIFORUMS kwakunisadia kupata mke(edited by mods)
Ukishakuwa single mama kuna vi credit flan vinapunguaHapo ndipo unajua kama huyu ni wa kutaka kula kimasihara
Na wale ambao hawajawahi kujibiwa pm wanacomment wapi ?Hi guys,
Nimekumbuka hii ujinga Leo nikaishia kucheka.! Kuna wale watu huwa wanakuja PM kwa mbwembwe kibao, mrembo mrembo nyingi mara mtoto mzuri, (wanadanganyika na avatar obviously) lakini vile huja kupotea ndo wanashangaza na jukwaani unawaona unaishia tu kucheka hiiii'...!!
Huyu wa kwanza alikuja mbwembwe kibao, akauliza umri nikajibu 41, hajawahi kurudi na hata hiyo PM hakujibu, akajionea tu hii kikongwe nimetokana nayo wapi? akatoka ndukii akaniachia mpaka vumbi walaqhi'..!!
Huyu mwingine naye kaja na mbwembwe kama ngombea wa uenyekiti wa Vicoba, akataka kujua nipo wapi, nikamtajia kijiji ambacho hakipo hata kwenye ramani ya Tanzania, akajibu tu 'I thought upo dar nikutafute, nice day', akanipotezea mazima, nikaona ile namna wa mikoani hutengwa waziwazi, hahaa.!!
Huyu mwingine naye eti akaniongelesha busara siku mbili tatu,story za hapa na pale, baadaye akataka kujua nafanya kazi gani, nikamjibu mkulima, I swear mpaka Leo akanipotezea na ile PM hakujibu na huku jukwaani tunakutana zetu kiroho safi,
Hivyo kila nikionaga ID ya miminimkulimaakachekasana naishiaga tu kucheka, huwa natamani iwe 'miminimkulimaetiakanichunia'..!
Hivii huwa mnakutana nahizi sarakasi ama hizi ni kwa ajili yetu tu sisi wabarikiwa?
#nohardfeelings# tupunguze tu stress za corona,
Stay safe guys..!!
Mana hapa waathirika wengi jinsia yao inajulikana. Au ndio anataka waje wakiwa wakali kama nyuki. ππHahaa sijui hata aliwaza nini!!
Hahahaha..!Sijawahi kukutana na majibu kama ayo pm na uwa napewa no but tunatongozana na kuwa wapenzi na kuachana bila kuonana
Sent using Jamii Forums mobile app
you're so smart C'ssy and I do appreciate you.!Mana hapa waathirika wengi jinsia yao inajulikana. Au ndio anataka waje wakiwa wakali kama nyuki. ππ
Ila Mdogo wangu huyu huwa ni mchokozi mchokozi siku zote sasa leo kajikalia huko akaona hebu leo awachokoze watu wakumbuke enzi hizoooo mana wanaokutana na hizi mambo huwa ni pale mtu anapokuwa mgeni mgeni au akiona mdada mgeni basi kutwaa kwenye PM za watu, akishapazowea JF basi anasahau nini alifanya au alimfanyia mtu enzi hizo akiwa na kamba mguuni. Hahahahahaaaaa. Teh teh
Ana kauchokozi sana, na ipo damuniπ Ila bora tucheke tuongeze siku za kuishiMana hapa waathirika wengi jinsia yao inajulikana. Au ndio anataka waje wakiwa wakali kama nyuki. ππ
Ila Mdogo wangu huyu huwa ni mchokozi mchokozi siku zote sasa leo kajikalia huko akaona hebu leo awachokoze watu wakumbuke enzi hizoooo mana wanaokutana na hizi mambo huwa ni pale mtu anapokuwa mgeni mgeni au akiona mdada mgeni basi kutwaa kwenye PM za watu, akishapazowea JF basi anasahau nini alifanya au alimfanyia mtu enzi hizo akiwa na kamba mguuni. Hahahahahaaaaa. Teh teh
Watu tuna vipaji tofauti[emoji1]Wakurungwa wana roho ngumu sanaa toka 2017 anakimbizia tu [emoji28][emoji28]
Hahaha..!π Wanakuwa na bashasha kweli ila ukimpa mawili matatu ndivyosivyo tofauti na alivotegemea lazima asepe! Lakini ndo vizuri maana maswali mengi kama unajaza fomu ya Nida bhana!.
ππππHahahaha..!
Hiyo ya kuwa wapenzi halafu mnaachana bila kuonana, nimefurahishwa.!!