Hivi ni kidude gani alichokiimba Diamond Platnumz hapa?

Babu Kijiwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2010
Posts
4,830
Reaction score
4,729
Katika kibao chake kiitwacho Baba Lao, nyota wa muziki anayepeperusha vyema bendera ya Tanzania Diamond Platnumz ameimba maneno haya katika moja ya verses kwenye wimbo huo
"Eeeh! Tumewachapa (Kidude) Hakichomoki (Kidude) Kimewanasa (Kidude) Wanatapatapa (Kidude)"

Hicho kidude anacho kiimba Diamond ni kidude gani?
 
Kwio

Jr[emoji769]
 
TUNGI LIMEZIDIIIII, TUZIME MUZIKI
Huo huu ni mkali aiseeee watoto wanaupenda sana
 
alimaanisha washindani wake kashawaweza nakashawazidi kila kitu hata wakiungana hawamuwezi tena ndo maana hata walipomchukua konde kuongeza nguvu bado anawaburuza tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…