Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,830
- 4,729
Katika kibao chake kiitwacho Baba Lao, nyota wa muziki anayepeperusha vyema bendera ya Tanzania Diamond Platnumz ameimba maneno haya katika moja ya verses kwenye wimbo huo
"Eeeh! Tumewachapa (Kidude) Hakichomoki (Kidude) Kimewanasa (Kidude) Wanatapatapa (Kidude)"
Hicho kidude anacho kiimba Diamond ni kidude gani?
"Eeeh! Tumewachapa (Kidude) Hakichomoki (Kidude) Kimewanasa (Kidude) Wanatapatapa (Kidude)"
Hicho kidude anacho kiimba Diamond ni kidude gani?