NnyaMbwate
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 1,678
- 1,204
Duh! Nimecheka kwa sauti, hasa hapo kwenye uchawi wa kufa mtu!Points zimebaki 6 simba ana 46 michezo 20 yanga ana 40 michezo 19 patamu hpo yanga akifanya kweli game ijayo gape litabaki points 3 kwa gape hili wakija kukutana kwa mchina ple hyo tarehe 28 uchawi wke utakuwa sio wa dunia hii atakufa mtu!
Khtr sana ndg yng hz timu tuzishangilie tu ila mambo yanayofanyika nje ya uwanja ni balaa!Duh! Nimecheka kwa sauti, hasa hapo kwenye uchawi wa kufa mtu!
neno chambo lina maana gani hapo?duuh wapiga debe hawana wema ..stend wametutoa chambo taifa [HASHTAG]#nguvumoja[/HASHTAG]
aibu fulan mkuu!neno chambo lina maana gani hapo?
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Kwan tutakufa?
Daah we jamaaa[emoji15] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Points zimebaki 6 simba ana 46 michezo 20 yanga ana 40 michezo 19 patamu hpo yanga akifanya kweli game ijayo gape litabaki points 3 kwa gape hili wakija kukutana kwa mchina ple hyo tarehe 28 uchawi wke utakuwa sio wa dunia hii atakufa mtu!
Shida baabuuu, shuaDuh! Nimecheka kwa sauti, hasa hapo kwenye uchawi wa kufa mtu!