Hivi ni kosa kutumia hii pesa kwa matumizi binafsi??

KakaKiiza

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
11,794
Reaction score
9,075
Wadau naomba nijulishwe kama siku sina pesa Bibie akanionea huruma akanipa pocket Money,Na mimi nikaenda kupiga msele nikaanza kuitumia na akaja Totoz nikamtwanga kilaji na kwenda kubanjuka naye jama hapo si ninakuwa nimetumia efficiently??Kuna ubaya japo madame katoa??Mawe sitaki!!
 
Kazi mnayo. . .
Wengine wanalalamika wake zao wanawakopesha pesa ya matumizi ya nyumbani. . .wengine mkipewa mnatumia kuhonga watu wenu wa nje. . .
Kweli ndoa na mahusiano mengine tabu tupu.
 
Yani humu ndiyo tunazidi kujiaibisha wanaume...

Huwezi amini! Sasa kama thread kama hiyo anajua wangapi wanaingia? Kama mke au girlfriend anaingia humu,anaweza akajenga dharau kwa wanaume!
 
kashakupa basi u free kutumia utakavyo bana....ila na wewe ukimpa akaenda mpa dume usulalamike
 
Mwezio awazi kama wewe yeye anafanya kabisa ana kaserengeti boys kake ambako kakiwa na shida tu kanamvutia uzi na hapo we unpigwa kizinga anapelekewa dogo kwa hiyo wala lisikuumize kichwa haya mambo ndivyo yalivyo
 
"Muosha huoshwa".
Waweza tu kutumia utakavyo ila kumhonga mwanamke mwingine sidhani kama ni vyema. Ila kumbuka naye siku moja atakuja kumhonga mwanaume wa nje hela uliyompatia.
 
Looh, yaani wewe unalelewa mpaka hongo inatoka nyumba kumbwa!
 
walioelea thread yako nahisi iliwachukua mda kidogo....kwa upande wangu bado sijaielewa labda nirudie mara mbili mbili kuisoma.
 
what you see is what you get... na kama kwako hiyo ni fair game basi jiandae ku-face upande wa pili wa shillingi: do you know that mademu unaowahonga nao wanahonga vidume vingine ili wamegwe...
 

Jee ulishawahi kuulizia pesa unayotumia kuhudumika familia yako? Naamini hujafanya na wala hutofanya! Hatia inakusuta kwani si pesa ya mkeo tu bali hata yako mwenyewe si halali kuitumia kama hivyo? unaweza kumuarifu mkeo kuwa ulipopata mshahara umekwenda kubanjukia?
 
walioelea thread yako nahisi iliwachukua mda kidogo....kwa upande wangu bado sijaielewa labda nirudie mara mbili mbili kuisoma.
Kama wewe nikilaza nikusaidie vipi??soma kwenye red utaelewa tu.
 
hawa watu na mapenzi ya tamthilia wanatusumbua, hv mwanaume utaombaje hela kwa mwanamke?
 
hawa watu na mapenzi ya tamthilia wanatusumbua, hv mwanaume utaombaje hela kwa mwanamke?
Unamaa desemba mpaka desemba wewe unahudumia tu??hata kama hauna na mwenziyo anauwezo wakuwa na kitu unameza office pin tu!!ili usionekane umemuomba mwanamke!!???kazikwelikweli!!Kazana unakufa na tai shingoni kilasiku wewe nikukopa tu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…