KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,794
- 9,075
Wadau naomba nijulishwe kama siku sina pesa Bibie akanionea huruma akanipa pocket Money,Na mimi nikaenda kupiga msele nikaanza kuitumia na akaja Totoz nikamtwanga kilaji na kwenda kubanjuka naye jama hapo si ninakuwa nimetumia efficiently??Kuna ubaya japo madame katoa??Mawe sitaki!!