Mbangubangu
Senior Member
- May 6, 2013
- 188
- 69
Wadau hii me naona inanichosha.Wazazi tunatumia hela nyingi kusomesha watoto tution na gharama kibao za vitabu na vifaa vingine,bado ukija nyumbani ukifanya homework na mtoto ni madudu matupu.Mwandiko na uelewa ni hovyo kabisa.
Naomba ushauri jamani au walimu wa siku hizi wako busy hata watoto kufundishwa kuandika vizuri hamna.
Naomba ushauri jamani au walimu wa siku hizi wako busy hata watoto kufundishwa kuandika vizuri hamna.