Hivi ni kwa nini inakuwa hivi?

Joined
Aug 17, 2009
Posts
60
Reaction score
4
Hivi inakuwaje mdada akiolewa tu kama alikuwa na marafiki wakiume wengi na ndo walikuwa karibu kuliko wadada mara nyingi wanapungua kama c kuisha kabisa,ila mwanaume akioa tena wadada ndo wanazidi na ndo wanakuwa karibu sana,je inamaana wanaume wanaogopa wake za watu na wanawake hawaogopi waume za watu?,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…