Hivi ni kwa nini inakuwa hivi?

Hivi ni kwa nini inakuwa hivi?

Joined
Aug 17, 2009
Posts
60
Reaction score
4
Hivi inakuwaje mdada akiolewa tu kama alikuwa na marafiki wakiume wengi na ndo walikuwa karibu kuliko wadada mara nyingi wanapungua kama c kuisha kabisa,ila mwanaume akioa tena wadada ndo wanazidi na ndo wanakuwa karibu sana,je inamaana wanaume wanaogopa wake za watu na wanawake hawaogopi waume za watu?,
 
Back
Top Bottom