Hivi ni kwa nini mama yake Lulu ana dharau kwa waandishi wa habari?

Wewe ni senge kabisa, yani shilawadu ni waandishi wa habari!?
 
Kwanini unakubali kustaajabishwa na mambo yasio kuhusu? We ni wa kike?
 
Wewe ni senge kabisa, yani shilawadu ni waandishi wa habari!?
hahahaha daa nimecheka sana yani jf raha tupu.....hata mimi nimeshangazwa kusikia shilawadu ni waandishi wa habari.
 
Sasa kutomjibu mtu ni dharau... ukimya ni jibu la mjinga
 
alikuwa anakaa Tabata chumba kimoja..sasa mtoto wake anadanga kwa akili kwa nini asiwe na dharau ni kama yule mama wa final say
 
Muacheni mama wa watu apumzike amehangaika sana, waambie wakatafute habari kwingine.
 
Ajibu ili iweje nawewe...hayamuhusu ndio maana hakutaka tia neno...mama lulu alikosea sana yani mimi ningemkata kibao...kukosa adabu na maisha ya watu ni upuuzi mkubwa sana
 
hahahaha daa nimecheka sana yani jf raha tupu.....hata mimi nimeshangazwa kusikia shilawadu ni waandishi wa habari.
Tukimpa Magufuli miaka 20 tu itatosha kunyoosha nchi mpaka mipumbavu yote akili ziwarudie.
 
Nimechungulia gender yako mleta mada nimekuta ni "male"!!
 
Yaani as if yeye ndo kimbelembele daah!sidhani km ataenda leaders!!

Muna bwana!!nimeumiaa
Hata mimi natamani kumuona Leaders ila sidhani kama ataenda si unajua tena walimwengu ooh kakonda ooh kafifia, augulie tu nyumbani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…