Emok Jr
JF-Expert Member
- Mar 17, 2018
- 1,094
- 800
Niende moja kwa moja kwenye mada leo tar 06/07/2018 mida hii ya 23:19 nacheki shilawadu ambao wanaendelea kutujuza kwenye updates kuhusiana na msiba wa mtoto patrick wa munalove.
Kitu kilichonistaajabisha ni mama yake lulu kuto kumjibu kwisa yani ana dharua za kiwango cha sgr sijawahi ona na make up ile mh!
Pia hata wale wadada wengine wana dharau au ndo wanamuogopa mama lulu?
Pia mama lulu amewahi mjibu mwandishi wa habari wa wasafi tv kauli mbaya !!
Wale mlioangalia leo shilawadu nazani mtanielewa zaidi picha sina
Kitu kilichonistaajabisha ni mama yake lulu kuto kumjibu kwisa yani ana dharua za kiwango cha sgr sijawahi ona na make up ile mh!
Pia hata wale wadada wengine wana dharau au ndo wanamuogopa mama lulu?
Pia mama lulu amewahi mjibu mwandishi wa habari wa wasafi tv kauli mbaya !!
Wale mlioangalia leo shilawadu nazani mtanielewa zaidi picha sina