Hivi ni kwa nini tunakuwa na maneno ya kashfa namna hii!!!!

Hivi ni kwa nini tunakuwa na maneno ya kashfa namna hii!!!!

inaudhi wa kunyumba, yani umetoka kutoka jasho mpaka la jino labour halafu mtu anakuitia kibinti chako changudoa? watu wanapenda kuwaundia wenzao kec kweli.

Nyamayao wanakwambia naona umetulea ka INFI
 
tucpende kuchukulia mambo kimzaha ujui anayetamka ana malengo gani moyoni mwake mbali na ww kuona ni mzaha akitamka futa palepale kwa damu ya yesu umpena onyo me mwanangu akiniuzi sana na nikakasirika tuc la kwanza kichwa kama changu, mwone sura kama yangu hasira inaisha atalia badae marafiki mpaka ss ukimwangalia kafanana na mm kweli kweli mpaka raha ujue mdomo unaumba kwelikweli
 
Ulimi kiungo kidogo mmatatizo yake ni makubwaaaaa....(John Munisi aliimba)
 
Back
Top Bottom