Hivi ni kwanini baadhi ya polisi wa Dar wana roho mbaya na wengi wao kichwani zero

Hawa jamaa hawana customer care kbs,ukifika kwny counter zao utafokewa na kutolewa maneno ya kejeli,wanachukua maisha ya depo na uraiani ni sawa,hawatambui kuwa uraiani unatakiwa kutoa huduma.
Sijawahi ona polisi mwenye roho nzuri.

Nilipatwa na matatizo nikaripoti polisi, yaani kwanza najutia muda wangu niloupoteza kuwapa taarifa.
Siwapendi basi tu.
 
Sidhani kama wanafundishwa hilo!!!
Hawa jamaa hawana customer care kbs,ukifika kwny counter zao utafokewa na kutolewa maneno ya kejeli,wanachukua maisha ya depo na uraiani ni sawa,hawatambui kuwa uraiani unatakiwa kutoa huduma.
 
Kama siku ya leo ndo wamenikera mtu anapigwa na waendesha bodaboda pale shekilango mataa wao wanatizama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…