Hivi ni kwanini Baraza Kuu la CCM liliwaita na kutaka kuwahoji akina Membe na kumwacha Musiba?

Mkiitwa muwe makini@malima@arsenic
 
Swali la ovyo

Musiba aitwe kwa kosa gani?

Kwenye zile audio hatujamsikia musiba ,akimtukana Jpm , sasa aitwe kwa kosa gani?

Mm nikajua kwann asipongezwe kwa kufichua wanaomuhujumu RAIS
 
Wahojiwe leo kesho utahojiwa wewe unayewahoji - tusiendekeze viongozi wetu kutukanwa, kudharauriwa na kufanywa daraja

Haitatokea tukapata kiongozi asiyekuwa na udhaifu hivyo kukosoana sana tukuache na kuijenga CCM yetu
 
Dunderhead aliesukumizwa anaiua nchi,taifa,na chama chake the time will tell .
 
Kwani Musiba amekuwa kigogo wa CCM?na je aitwe na CCM kwa kosa gani na akiwa kama nani?
Kwani mmewaita akina Membe kama vigogo wa CCM au kutokana na tuhuma zao wanazikabiliana nazo?

Wewe unadai kuwa Musiba ni mtu mdogo, lakini unajua kuwa yeye ndiye "root cause" wa yote haya yanayotokea?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…