Themagufulianz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2017
- 4,548
- 1,988
ukweli unabaki kuwa kila mtu ni ccm .. mnaijua mnaipenda na mnataka itende haki ama ifuate utaratibu fulani.
Get out of closet..[emoji1][emoji1][emoji1]
Sent using Jamii Forums mobile app
Get out of closet..[emoji1][emoji1][emoji1]
Mimi siko CCM wala Chadema
Kuuliza kwangu ni kwanini NEC ya CCM inawaita akina Membe na kunwacha Musiba, ni kwa kuwa nataka haki itendeke na naamini kuwa huyo Musiba ndiyo "root cause" wa haya yote yanayotokea
Kitendo cha CCM kufanya ubaguzi na kuwaonea baadhi ya watu, kitasababisha Taifa hil lisambaratike. OVA
Sent using Jamii Forums mobile app