Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaaa......... Yule ni mwanaharakati huru ndani ya CCM!
Lakini katika mazingira ya Shauri hili, ni kama uamuzi ushafikiwa tayariGod and time!
Kuwahoji hakumaanishi kuwaadhibu - katiba waliyoiandaa wao ndiyo hiyo inayotumika kuwapa haki
Ktk kila hatua tujuwe kwamba kuna kesho na kesho kutwa
Kesho njoo urudie tena mashudu yako, huyo ni nani?Musiba sio mwanachama unapo mwita unamwita kama nan?
Hajanonesha uthibitisho kuwa yeye ni ccm hao wengine ni zaid ya wqnachama manake kwa nyakati zao qashakuwa viongozi wa kubwa ndani ya chama na selikal
Sent using Jamii Forums mobile app
Kinana, Makamba na Membe wanaitwa kwa kuzingatia nafasi zao ndani ya Chama.Sasa kama hamuogopi mtu, nimeuliza swali ni kwanini mnashikwa na kigugumizi kumwita Musiba na kumuhoji??
Lakini lazima tufahamu kuwa yeye Musiba ndiyo "root cause" ya haya yote yanayotokeaMusiba anadai yeye ni “mwanaharakati” na sio mwanachama wa CCM. Ni CCM pekee ndio wanaweza kuthibitisha hil. Otherwise CC ya CCM haina mandate ya kuwaita watu wasio wanachama wa chama chao.
Ile kamati ya haki, mamlaka na madaraka ya Ndugai ndio inayoweza kumsummon almost kila mtu atakayeonekana kuudhalilisha uleMuhimili
Musiba ni muhimu Sana kijana,kuliko unaweza kudhaniaHivi Musiba na Makamba nani mtu muhimu ndani ya ccm?
Musiba na kinana na mtu muhimu ccm?
Nikweli ccm inamuogopa Musiba?
Acheni kutupigia kelele tuna mambo nyeti ya kitaifa ...kama mnaona kuna sheria imevunjwa nendeni mahakamaniKwanini CCM
1. Inavunja katiba? Kuingilia mawasiliano ya watu binafsi.
2. Kwanini inafanya unyanyapaa kwa wanachama wake?
A) Musiba Haitwi kuhojiwa
B) wazee wanaitwa
Waitwa wote A) na B) hapo juu haki intendee.
3. Kwanini ccm hairuhusu kukosolewa?
A) kuambiwa ukweli ni kosa?
B) kushauliwa nikosa?
Acheni kutupigia kelele tuna mambo nyeti ya kitaifa ...kama mnaona kuna sheria imevunjwa nendeni mahakamani
-
Msiba ni Mwanaharakati.Sasa kama hamuogopi mtu, nimeuliza swali ni kwanini mnashikwa na kigugumizi kumwita Musiba na kumuhoji??
Absolutely trueKumwita mwanachama au kumtishia kumfukuza ni kuvunja katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Chama hakipaswi kuingilia uhuru wa mwanachama wa kutoa maoni yake bila kuvunja sheria za Jamhuri.
Ni ufinyu wa fikra tu unaotufanya watanzania kuonewa na Serikali na vyama vya siasa.
Hatujauza uhuru wetu kwa vyama wala serikali. Kuwa mwanachama siyo kigezo cha kukosa uhuru wa kutoa maoni bila kutishwa.
mhhhi ! hii hatari ,unamuacha musiba unamuita comrade kinana,ccm inapasukaKwanini CCM
1. Inavunja katiba? Kuingilia mawasiliano ya watu binafsi.
2. Kwanini inafanya unyanyapaa kwa wanachama wake?
A) Musiba Haitwi kuhojiwa
B) wazee wanaitwa
Waitwa wote A) na B) hapo juu haki intendee.
3. Kwanini ccm hairuhusu kukosolewa?
A) kuambiwa ukweli ni kosa?
B) kushauliwa nikosa?
Mbona wanamuogopa Musiba Majura Cyprian a.k.a Mulaga Ma...gi?CCM haiogopi watu kama chadema ,huku ukizingua unasurubiwa kama yeyete
State agent
Sent using Jamii Forums mobile app