Ndikwega
R I P
- Feb 1, 2012
- 5,979
- 5,527
Umeelewa ulichoandika Mwehu wewe? Hopeless kabisa.CCM haiogopi watu kama chadema ,huku ukizingua unasurubiwa kama yeyete
State agent
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeelewa ulichoandika Mwehu wewe? Hopeless kabisa.CCM haiogopi watu kama chadema ,huku ukizingua unasurubiwa kama yeyete
State agent
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika hata Mimi nashangaa...........mhhhi ! hii hatari ,unamuacha musiba unamuita comrade kinana,ccm inapasuka
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mayala alihojiwa.Kwenye sheria ni lazima unapohitaji haki itendeke uhusishe pande zote ili uujue ukweli na ufanye uamuzi usiopendelea upande mmoja
Nimesikia kwenye kikao cha NEC ya CCM kilichomalizika siku chache zillizopita.huko Mwanza, kuwa kimeamua kuwaita akina Bernard Membe, Abdurahman Kinana na Yusufu Makamba kuwahoji kuhusu tuhuma zinazowakabili za kuvuja kwa sauti zao kwenye audio clips
Nina maswali machache ninataka kuwauliza hao wajumbe wa NEC walioazimia azimio hilo
1. Ni kwanini muwaite akina Kinana na kutaka kuwahoji wakati mmeacha kumuita Musiba, ikiwa mnatafuta haki itendeke kwa kusikiliza pande zote za mgogoro huo??
2. Hivi "privacy policy" haipo tena nchini Tanzania, ambapo mtu analindwa kisheria katika maongezi yake ya faragha??
3. Mnawezaje kuwa nyinyi NEC ya CCM kuwa ndiyo waamuzi wa kesi hiyo, wakati mnajua kabisa kuwa mnakiuka "principle" kuu ya "natural justice" inayosema "You can't be a judge in your own case"
4. Hivi kwa kitendo kilichofanywa na NEC ya CCM, siyo kinazidi kuthibitisha shutuma za wananchi walio wengi kuwa huyo Musiba anakingiwa kifua na anatumwa na mtu mzito sana ndani ya nchi hii kutoa hizo shutuma zake zisizokuwa na ushahidi??
Hili Taifa kama linafanya maamuzi yake kwa ubaguzi wa waziwazi kabisa, katika kuwashughulikia wahusika wake linalowatuhumu, kama huu tunaouona sasa tujue kama Taifa tupo hatarini kusambaratika
Naomba nijibiwe kwa hoja, wala si kwa kutoa povu
Hakika Mkuu, maana ni vuvuzela Kweli Kweli.Huyo kada wa Lumumba, anachojua yeye ni kusifu na kuabudu peke yake.......
Umeshindwa kwenda kuwauliza CCM wenyewe unaleta umbeya na Majungu JF.Kwenye sheria ni lazima unapohitaji haki itendeke uhusishe pande zote ili uujue ukweli na ufanye uamuzi usiopendelea upande mmoja
Nimesikia kwenye kikao cha NEC ya CCM kilichomalizika siku chache zillizopita.huko Mwanza, kuwa kimeamua kuwaita akina Bernard Membe, Abdurahman Kinana na Yusufu Makamba kuwahoji kuhusu tuhuma zinazowakabili za kuvuja kwa sauti zao kwenye audio clips
Nina maswali machache ninataka kuwauliza hao wajumbe wa NEC walioazimia azimio hilo
1. Ni kwanini muwaite akina Kinana na kutaka kuwahoji wakati mmeacha kumuita Musiba, ikiwa mnatafuta haki itendeke kwa kusikiliza pande zote za mgogoro huo??
2. Hivi "privacy policy" haipo tena nchini Tanzania, ambapo mtu analindwa kisheria katika maongezi yake ya faragha??
3. Mnawezaje kuwa nyinyi NEC ya CCM kuwa ndiyo waamuzi wa kesi hiyo, wakati mnajua kabisa kuwa mnakiuka "principle" kuu ya "natural justice" inayosema "You can't be a judge in your own case"
4. Hivi kwa kitendo kilichofanywa na NEC ya CCM, siyo kinazidi kuthibitisha shutuma za wananchi walio wengi kuwa huyo Musiba anakingiwa kifua na anatumwa na mtu mzito sana ndani ya nchi hii kutoa hizo shutuma zake zisizokuwa na ushahidi??
Hili Taifa kama linafanya maamuzi yake kwa ubaguzi wa waziwazi kabisa, katika kuwashughulikia wahusika wake linalowatuhumu, kama huu tunaouona sasa tujue kama Taifa tupo hatarini kusambaratika
Naomba nijibiwe kwa hoja, wala si kwa kutoa povu
unataka ushaidi gani tena wakati audio zipo ?4. Hivi kwa kitendo kilichofanywa na NEC ya CCM, siyo kinazidi kuthibitisha shutuma za wananchi walio wengi kuwa huyo Musiba anakingiwa kifua na anatumwa na mtu mzito sana ndani ya nchi hii kutoa hizo shutuma zake zisizokuwa na ushahidi??
kuna uzushi gani ikiwa recorded audio zipo na wamekiri kufanya hivyo?Je ccm inaruhusu wanachama wake kutukanwa na kuzushiwa ?
kuna uzushi gani ikiwa recorded audio zipo na wamekiri kufanya hivyo?
unataka ushaidi gani tena wakati audio zipo ?
maneno ya faragha maana yake useme maneno ya hovyo juu ya kiongozi wako?acha kukariri katiba kama kasuku
Mkuu, mwenye mbwa akikuta mbwa wake anakubwekea hamuulizi mbwa, anakuuliza wewe unayebwekewa hata kama na wewe hujui kwanini yule mbwa anakubwekea.4. Hivi kwa kitendo kilichofanywa na NEC ya CCM, siyo kinazidi kuthibitisha shutuma za wananchi walio wengi kuwa huyo Musiba anakingiwa kifua na anatumwa na mtu mzito sana ndani ya nchi hii kufanya huo upuuzi wake??
[emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144] Mystery,
Musiba ni kada mbobevu wa CCM mwenye taarifa nyingi sana za wanaokihujumu chama cha mapinduzi pamoja na rais.Musiba ni nani kule CCM?!
Ume-comment vizuri sana......Tuna mhimili wa sheria yaani makama na sheria za kimtandao
Ume-comment vizuri sana......
Kama tuna mhimili wa mahakama, ambapo mashauri yote yanapelekwa huko na kuamuliwa kwa haki, je ni sababu zipi zilizofanya hao NEC ya CCM watwae majukumu ya mahakama??
Hongera kwa kurejewa na ufahamu wako uliokuwa umetekwa na praise group!Kama siyo mwanachama aligombeaje ubunge kule Mwibara kwa tiketi ya CCM na kubwagwa na Kangi Lugola?!!
Na hii ndio hukumu halisi inayotarajiwa na kusubiriwa kwa hamu atakayopewa Membe!Unaweza kujikuta unapigwa adhabu ya kutogombea nafasi yyte ile ndani ya chama Kwa mwaka mzima.....
pindi ukipatikana na hatia....
najaribu kuwaza.....
Hakuna anayewasulubu. Wamepewa nafasi watoe dukuduku zao hadharani kwa mambo wanayoona hayaendi sawa kuliko kuyajadili gizani kama wachawi kusiko na tija kwa chama wala kwao wenyewe. It's healthy for a democratic institution.CCM haiogopi watu kama chadema ,huku ukizingua unasurubiwa kama yeyete
State agent
Sent using Jamii Forums mobile app
Ikiwa hivyo ndovyo basi itakuwa musiba sio mtuSasa kama hamuogopi mtu, nimeuliza swali ni kwanini mnashikwa na kigugumizi kumwita Musiba na kumuhoji??