The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,968
- 2,957
Hivi ni kawaida kwamba miezi mitatu sasa imepita tangu ajiuzulu lakini hawajaweka mrithi wake shida Iko wapi?!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chicken carbonate bado inafanya bettingHivi ni kawaida kwamba miezi mitatu sasa imepita tangu ajiuzulu lakini hawajaweka mrithi wake shida Iko wapi?!?
Mbona alipojiuzulu mangula mrithi wake alitangazwa siku hiyo hiyo!? Na kama hana umuhimu ni kwa nini kiwepo hicho cheo!?Kimsingi makamu mwenyekiti hana kazi ikiwa mwenyekiti yupo...
Ndio sababu huoni kilichopungua...
Sawa ndio ipite miezi mitatu!?Aliwasapuraizi
It was absolutely out of plan kwaiyo lazima wajiongezeSawa ndio ipite miezi mitatu!?
Mbona alipojiuzulu mangula mrithi wake alitangazwa siku hiyo hiyo!? Na kama hana umuhimu ni kwa nini kiwepo hicho cheo!?
Sawa lakini si aliepigwa chini ingekuwa rahisi sana kupata mrithi?Kinana hakujiuzulu, alipigwa chini pamoja na vijana wake akina Nape na January .... hilo la kujiuzulu ilikuwa ni kutuliza hali ya hewa.
inakuhusu nini wewe? waache na mambo yaoHivi ni kawaida kwamba miezi mitatu sasa imepita tangu ajiuzulu lakini hawajaweka mrithi wake shida Iko wapi?!?
Inanihusu kama inavyokuhusu ndo maana umechangia hapa. Kwani hujui kwamba huyo mtu ana athari za moja kwa moja kwenye maamuzi ya nchi!?inakuhusu nini wewe? waache na mambo yao
Fafanua mkuuChicken carbonate bado inafanya betting
Wanatafuta mstaafu mwingine wamwombe awasaidie. Hawa huwa hawazalishi viongozi damu changa wao wanategemea wahamiaji kutoka chademaHivi ni kawaida kwamba miezi mitatu sasa imepita tangu ajiuzulu lakini hawajaweka mrithi wake shida Iko wapi?!?
🤣 🤣 🤣Wanatafuta mstaafu mwingine wamwombe awasaidie. Hawa huwa hawazalishi viongozi damu changa wao wanategemea wahamiaji kutoka chadema