Hivi ni kwanini huyu dada alifanya vile...??

Silence means alivyokuwa anaimajin jinsi ulivyo ikawa si hivyo.
Her expectations were high but alipokuona akagundua you are below her standards.
 

unanidai bumunda mpenzi
 
KESHO NALITAKA.
kanifurahisha uyu dada alivyomwacha solemba jamaa akabak anambwela mbwela tu....teh teh rahaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!

hahahahahaaa maana viwango duni :car:,kesho kukikucha unalikuta mlangoni
 
Ili baadae unipotezee! Nimekujua wewe unapenda masharobaro! Cji tena!
Ngoja tuhela twangu nitunywee ulanzi..!

ahh apana
mi mashalobalo wa kaz gan?
ao hawana nafasi kwangu
hawajui mapenz,wanaomba ela,wanapenda kullelewa,HAWAJUI SHUGHUL...wnapaka poda+wanja mi spak ahh si watak mie

mi nawataka wanaume km wewe...(mwisho wa mwez u) so wewe njoo tu mpz..
 
hahahahahaaa maana viwango duni :car:,kesho kukikucha unalikuta mlangoni

mwenzangu labda jamaa alikuwa anajifagilia aahhh mimi nina usafiri wa hatar ahh kumbe bwna kamwibukia mtoto na kibito sjui beb woka...oohh mimi mrefuu kumbe kadwafu kaajabu..mimi bwana presentabo kumbe ni kitu chca kufichwa uvungun..JAMAA ALIMJAZA DADA VTU ASIVYOKUWA NAVYO...muwe wakweli..ooh mi mkimbiaj mzuri wa riadha ahh kumbe jamaa ni kiwete...UNAZAN DADA HATAKUKIMBIZA..?
 
ahh apana
mi mashalobalo wa kaz gan?
ao hawana nafasi kwangu
hawajui mapenz,wanaomba ela,wanapenda kullelewa,HAWAJUI SHUGHUL...wnapaka poda+wanja mi spak ahh si watak mie

mi nawataka wanaume km wewe...(mwisho wa mwez u) so wewe njoo tu mpz..
Hahaha ngoja wenyewe waje hapa wakusikie!
 
Sijaelewa,,yani mmekutana afu hamjaonana???

ngoja nkupashe mwaya;
wamekutana bt dada kareact negative afta kuonana kinyume na b4 awajaonana..so anauliza y dada kaact ivyo wakat anaonekana alikuwa anamshobokea iv..


bnadamu umu ndan waklamjibu iv

1.
ulikuwa unampa picha si ya kweli juu yako
so alivyokuona ikawwa kinyume na matarajio yake thats y kakupotezea

yours REUTERS.
 
Hahaha ngoja wenyewe waje hapa wakusikie!

akina nan?
masharobaro?au km wew?
km masharobaroi wala hawanitish ..wamelegeaaaaaaaaaaa kila idara kwenz moja chalii na ivi nachukua koz kwa fransis cheka....mbona watanikoma umu ndan..:suspicious:
mjanja mimi
baunsa mimi
hakimu mimi
mtuhumiwa mimi ..UTANAMBIAJE SASA?
POLIC MIMI MWIZI MIMI...:car:
 
big up!!!mdada aliona chalii atamyeyusha.Ila namshauri akaze kamba kuna siku huyo mdada atagombana n a mtu wake then newcomer ata take advantage
 
Dah kweli leo masharo wamepata habari yake!
Ntacheka tena baadae tukikutana kwenye kidate chetu! Lol
C u there!
 

Hahahahaha! naona umetoa Tip kabisa hapo
 
big up!!!mdada aliona chalii atamyeyusha.Ila namshauri akaze kamba kuna siku huyo mdada atagombana n a mtu wake then newcomer ata take advantage


lakin ata km plan A ikifel uwez ukaswitch PLAN B ambayo si style yako,hadhi yako...MARA NYNG PLAN B INAKUWA haina tofaut sana na plan A

...ajisambaratishe tu apo
uyo dada si swaga zake uyoo bwana ....
 
Dah kweli leo masharo wamepata habari yake!
Ntacheka tena baadae tukikutana kwenye kidate chetu! Lol
C u there!

usichelewe km juz basi DEARBOY!!!
nije nikukabidh na zile bill..ahhh ok swetie c u thre!!!!!!
 
Labda hukuwa umejiandaa kaka yangu,ukakurupuka kitandani bila hata ya kuswaki, kufika kule mdomo ukawa unatoa harufu kali na wewe umekazana unataka kumuaga kwa denda dem akajua kila siku ndo upo hivyohivyo.
Pili hiyo imekuwa kama technique ya wadada na wakaka wengi ya kujifanya kama hataki vile baada ya kuonana na mtu mara moja atajifanya kama amepotezea ili mwenzage abeg for more
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…