Hivi ni kwanini huyu dada alifanya vile...??


Hahahahahaaaa baelezee baelezeee:A S-fire1:
 
lakin ata km plan A ikifel uwez ukaswitch PLAN B ambayo si style yako,hadhi yako...MARA NYNG PLAN B INAKUWA haina tofaut sana na plan A

...ajisambaratishe tu apo
uyo dada si swaga zake uyoo bwana ....

Hebu sikiliza bana.........kijana kaambiwa dinner sijala, nina njaa, Then kaambiwa njoo........Then kijana akasema ooh! late sana,...binti kamwambia kesho nipo tight njoo leo.

Kwa yeyote mwenye akili, hapo alikuwa amemaliza kila kitu! Kijana alipewa nafasi ya kumaliza yeye akachezea.....dada ameshamdharau. Ukiachilia mbali mambo ya pamba na marashi na wahtever else you young people think vinamatter kwenye hili game.
Aliambiwa this is the right time, njoo........yeye akapeleka maneno badala ya action. SOMENI KWA MAKINI.
 
Mi nataka Mbao na Misumari bana.
Hebu fanya fasta Kweka ananidai ati!!

mbao na misumari utengeneze kitanda?
afu ulale,umlale nan ?
stak
nakuleta lita tano za mafuta kwenye kidumu au umeacha skuiz ?
 
Hata come this way hajui unategemea nn? Lazima upotezewe tu!
 
Hata come this way hajui unategemea nn? Lazima upotezewe tu!

afu uwe unanukia ulanzi wakat dada ni mtu wa UNDER SCOTCH LAW 1886 ahh lazma uonekane kamtu na si mtu.
 

mwe!!!!!!!
 
iiiiiiiiiiiiiiiii imetuliaa zaidi[chukua usauriiii wa bidadaa rose kakaaaaa]
 

UNAULIZA JIBU BABA, HAPO HAULIPI KWAKE NA VIWANGO VYAKE....:car:

 

Wewe hukuelewa concept ya njaa kwake. Yeye hakua na njaa ya chakula! Alikua na njaa ya chakula cha kikubwa.

Kwaiyo baada ya kuona hukuweza kumwelewa na kutoa njaa yake,ameona huna mpango. Ndo mana kakupotezea mazima.
 
Anajua kuzungumza kiingereza yani english au hujui ni kigezo....? huna qualification,au bado anakutafutia namba kwenye list yake???:suspicious:🙂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…