mwenzangu labda jamaa alikuwa anajifagilia aahhh mimi nina usafiri wa hatar ahh kumbe bwna kamwibukia mtoto na kibito sjui beb woka...oohh mimi mrefuu kumbe kadwafu kaajabu..mimi bwana presentabo kumbe ni kitu chca kufichwa uvungun..JAMAA ALIMJAZA DADA VTU ASIVYOKUWA NAVYO...muwe wakweli..ooh mi mkimbiaj mzuri wa riadha ahh kumbe jamaa ni kiwete...UNAZAN DADA HATAKUKIMBIZA..?
lakin ata km plan A ikifel uwez ukaswitch PLAN B ambayo si style yako,hadhi yako...MARA NYNG PLAN B INAKUWA haina tofaut sana na plan A
...ajisambaratishe tu apo
uyo dada si swaga zake uyoo bwana ....
ntakununulia tyre na spana yake beb usijali....!!!!
Hahahaha na kama alienda na tuktuk ndo iliyo mshushia hadhi
Mi nataka Mbao na Misumari bana.
Hebu fanya fasta Kweka ananidai ati!!
Hata come this way hajui unategemea nn? Lazima upotezewe tu!Hebu sikiliza bana.........kijana kaambiwa dinner sijala, nina njaa, Then kaambiwa njoo........Then kijana akasema ooh! late sana,...binti kamwambia kesho nipo tight njoo leo.
Kwa yeyote mwenye akili, hapo alikuwa amemaliza kila kitu! Kijana alipewa nafasi ya kumaliza yeye akachezea.....dada ameshamdharau. Ukiachilia mbali mambo ya pamba na marashi na wahtever else you young people think vinamatter kwenye hili game.
Aliambiwa this is the right time, njoo........yeye akapeleka maneno badala ya action. SOMENI KWA MAKINI.
Hahahahahaaaa baelezee baelezeee:A S-fire1:
Mambo shosti?Hahahahahaaaa baelezee baelezeee:A S-fire1:
Hata come this way hajui unategemea nn? Lazima upotezewe tu!
mwenzangu labda jamaa alikuwa anajifagilia aahhh mimi nina usafiri wa hatar ahh kumbe bwna kamwibukia mtoto na kibito sjui beb woka...oohh mimi mrefuu kumbe kadwafu kaajabu..mimi bwana presentabo kumbe ni kitu chca kufichwa uvungun..JAMAA ALIMJAZA DADA VTU ASIVYOKUWA NAVYO...muwe wakweli..ooh mi mkimbiaj mzuri wa riadha ahh kumbe jamaa ni kiwete...UNAZAN DADA HATAKUKIMBIZA..?
iiiiiiiiiiiiiiiii imetuliaa zaidi[chukua usauriiii wa bidadaa rose kakaaaaa]alikuwa anataka akuone fizikali sa alipokuona UKAWA NJE YA VIWANGO na ndo mana akakupotezea
ungekuwa umemvutia basi angekuwa wa kwanza kukuchek..umefika dia?lala salama zngekuwa nyingiiiiiiiiiiiii
....alivyokuona akajisemema kimoyo moyo mtu mwenyewe nayeongea nae kwenye cm ndo uyu puuuuuuuuuuuuu ...anion wala kuniskia tena bastad,,.....!!!
ni michezo tu iyo km ile mnayotuchezeaga wakike so tuliza jambia mtu usipanmge kuchinja meza maumivu pata panadol ujisikilizie uanze upya..
mwe!!!!!!!
km alisema mi natembelea HAMMER na akaenda na mark 2 ya dadake imechooooooooooooka wat do thk?
Kuna siku nilitokea kuwasiliana na mdada fulani(jina kapuni),ingawa hatujawahi kuonana uso kwa uso.
Huyo dada kuna siku nilim-sms kwa meseji kama salamu, ikafika mahali, nilimuuliza amekula dinner? akanijibu "khaaa nnna njaaaa!!" nikashangaa na kumjibu "Ungeniambia mapema tungekula wote", alijibu "Jaman", aliniambia "njoo!" mahali alipo yeye ilikuwa usiku saa nne, nikajishauri kimoyomoyo nikamjibu kwa sasa ni usiku tufanye kesho(yaani siku inayofuata), alinijibu "Hapana, 2morrow ts a busy day!". Nikaona duh kweli alitaka anione nikajisukuma mpaka pale alipo na tukaonana tukaongea mawili matatu kwa muda mfupi nikaondoka.
Sasa nilipofika hm, nikamjulisha kwamba nimefika salama, sikuona JIBU mpaka hivi sasa.
Je, hiyo ni dharau ama?
Kuna siku nilitokea kuwasiliana na mdada fulani(jina kapuni),ingawa hatujawahi kuonana uso kwa uso.
Huyo dada kuna siku nilim-sms kwa meseji kama salamu, ikafika mahali, nilimuuliza amekula dinner? akanijibu "khaaa nnna njaaaa!!" nikashangaa na kumjibu "Ungeniambia mapema tungekula wote", alijibu "Jaman", aliniambia "njoo!" mahali alipo yeye ilikuwa usiku saa nne, nikajishauri kimoyomoyo nikamjibu kwa sasa ni usiku tufanye kesho(yaani siku inayofuata), alinijibu "Hapana, 2morrow ts a busy day!". Nikaona duh kweli alitaka anione nikajisukuma mpaka pale alipo na tukaonana tukaongea mawili matatu kwa muda mfupi nikaondoka.
Sasa nilipofika hm, nikamjulisha kwamba nimefika salama, sikuona JIBU mpaka hivi sasa.
Je, hiyo ni dharau ama?
Poa Kimey upo?Mambo shosti?
Nipo bibie.....Poa Kimey upo?
MJOMBA NAWE MGUMU KUELEWA....!!!! ULISOMAGA CHEKECHEA???:doh:Sijaelewa,,yani mmekutana afu hamjaonana???