Hivi ni kwanini kila msanii anayefanya Collabo na Diamond hupotea kwenye game mazima?

Hivi ni kwanini kila msanii anayefanya Collabo na Diamond hupotea kwenye game mazima?

Habari wakuu!
Leo nimeamua kuleta hoja hii mezani ili tujadili maana swali hili nimelifanyia utafiti kwa muda mrefu,

Je ni kwanini kila msanii anayethubutu tu kufanya collabo na Diamond AKA simba jini roho mbaya, huwa anapotea kimziki mazima, Je tatizo ni nini?
Inamana uwezo wa Diamond ni mkubwa kiasi kwamba kila anayefanya naye collabo baada ya hapo huonekana kufunikwa hadi kupoteza radha ya kimziki?
Au je ni ndumba kama ule uvumi wanaosema ukiimba na Chibu basi hapo hapo jamaa huiba nyota yako? Jibu mnalo wenyewe.
Lakini iufuatayo ni baadhi tu y mifano ya wasanii waliokumbwa na kadhia hii mbaya.

1. Hawa
Msanii huyu kuna kipindi miaka ya 2009- 11 alikuwa miongoni mwa wasanii wakali wa kike hapa nchini , Alifanya collabo zuri na Chibu [HASHTAG]#Nitarejea[/HASHTAG] ila baada ya hapo kapotea, sasa hivi anakula hadi unga, daily kulalamika kwenye media kuwa katengwa.

2. Chidi Benzi
Huyu alikuwa rapper the top hapa Tz na East Africa, Alishirikishwa na Mondy kwny wimbo [HASHTAG]#Nalia[/HASHTAG] mengi na wimbo ulikuwa mkubwa sana ila baada ya hapo kilomchotokea Chidi mpaka leo wote tunakijua.

3.Davido (Nigeria)
Huyu jamaa alikuwa hot cake kwa Africa hasa 2013-2015 ila baada ya kuimba [HASHTAG]#NumberOneRemix[/HASHTAG] na Diamond jamaa kapotea mazima hadi leo.

4. IYANYA ( Nigeria)
Naye huyu hatofauian sana na Davido, baada ya kuimba na Simba [HASHTAG]#Bumbum[/HASHTAG], huyu jamaa mpaka leo kabaki historia, naskia now ni fundi garage huko Nigeria

5.Bracket (Nigeria)
Aliimba na Mondy na wimbo wa [HASHTAG]#Alive[/HASHTAG] ila baada ya hapo hajulikani mziki kaacha au vipi
6.KCEE (Nigeria)
Huyu naye alivuma sana ila baada kutoa ngoma na Simba, [HASHTAG]#Loveboat[/HASHTAG] kapotea mazima

7.Mafikizolo
Hawa ndo kabisa hatujui sasa hivi kikundi chao kimekuwa sacoss au vipi, wamepotea mazima, sautsol wamechukua hadi nafasi yao.

8. Harmonize
Huyu dogo alikuja vizur na Aiyola, iila baada ya kuimba [HASHTAG]#Bado[/HASHTAG] na hili jini roho mbaya, dogo kapotea anabaki kuimba matatizo sjui ujinga gani sasa, na kusikika kwa kiki za mapenzi.

9.Linex
Huyu jamaa tangu kaimba Salma na Diamond, leo hii kabaki historia

10.Linah sanga
Mamawee hapa ndio nikae kimya, tangu ile kizaizai remix kapotea mbaya

11. Nay wa mitego
Namkubal sana huyu jamaa ila tangu aimbe mziki gani na chibu, simuelew kabsa ngoma zake siku hizi
12.Psquare
Tena hawa ndio wanatia huruma, wamebakia jina tu

13.Neyo (USA)
Huyu nyota ilianza kung'aa alipokuwa karibu na Kingkiba ila tangu apige collabo na Chibu bin awards, lol pole yake anatia huruma

14.Shetta
Mzee wa my New ride, pole baba, simba hapendagi ujinga ujinga.

15. Raymond
Mmh huyu ngoja tumpe muda, ila kuimba salome na Simba, nahisi ndiyo kachuma janga, let's watch out.

My Outlook: je tatzo nini, kweli kafara ya kubebeana nyota haihusiki hapa au nature ya game tu lenyewe halipendagi ujinga ujinga?

Bye.


Hujui jamaa ni kigagula???
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji780] [emoji780]
 
we jamaa nyuzi zako huwa zinaniacha hoi!Zama hizi unatoa ngoma 1 kwa mwaka
 
ujue unajitahidi kumkosoa mpinzani kwa nguvu zote huku ukimwacha unayemshabikia afanyi chochote kukuonyesha kwamba yupo pamoja na wewe inauma sana....pole sana kijana ali kiba hana kitu kichwani juu ya mziki,kashafeli kitambo kwa diamond wewe hata uwe unaandika makala kila siku ali kiba hatotoka kamwe kwa diamond.....sasa hizi aanze kushindana na harmonize na hata huyo naye kashampiku maana tayari ana tuzo ya maana kuliko huyu kijogoli wako..........
 
Kweli Mondi ni mti wenye matunda, haishi kupigwa mawe
 
Alikiba anajua mziki, na sauti yake very impressive, shida yake kubwa ni marketing, Diamond hawezi mfikia Kiba hasa mashairi na melody, kinachomsaidia ni ujanja ujanja tu na marketing mf aliona opportunity ya tradition song ambayo ingemboost kwenye tuzo za kimataifa but akashindwa kuimba Wa kwake akaparamia Wa saida, hvyo hvyo kwenye make me sing kuna copy and paste kibao......kwa sasa diamond almost anachoimba ni zero kabisa bt ni muoteaji mzuri Wa commercial
 
1. Hawa
Tutajie hizo nyimbo alizohit nazo hawa kabla ya kupotezwa na mond
2.Chid benz
Huyu alikuwa mkali na aliimba na wengi akiwemo kiba na mond kabla ya kuja kupotea miaka ya 2013
3. Davido
Mkataba wake na sony umembana na kumfanya asubilie mpaka sony walipokuwa tayari kutoa ngoma , amewasubili Sony kwa karibia mwaka kitu kilichokuwa tofauti na alipokuwa nje ya Sony
4. Iyanya
Iyanya kaimba na mond kipindi ndo anaishia na wa TZ tumemfahamu mwishoni kupitia mond
8. na 15
Harmo bado ndo ngoma iliyomtambulisha zaidi afrika Ndiyo video yake iliyotazamwa na watu wengi zaidi ndani na nje ya afrika
Rayvanny hii ngoma Salome ndo imembusti subilia matokeo baada ya mwaka
11.na 14
muziki gani ndiyo nyimbo iliyompa hela nyingi na kumfungulia njia nyingi za kibiashara anasema ney mwenyewe
shetta anapata sapoti kubwa kutoka kwa chibu na connection

12. na 13
P square walikuwa na ugomvi, wamerudi pamoja kwenye kidogo waliposhirikishwa na mond na ya kwao ni hii bank alert ambayo inafanya vizuri kaangalie viwers YouTube
Neyo hajawahi kuwa mtu wa karibu na kiba zaidi kukutania coke studio na kiba na management yake walipolala,kama kawaida yao , Sallam yeye alikuwa anaweka mipango ya kumuunganisha
mond
KAMA HUJUI ULIZA UJIBIWE SIO DHAMBI
 
tatizo ni wewe mtoa post ni team alikiba kama Mimi, naombeni watu muoverlook uteam wa mtoa Mada ili mpate wasaa wa kuchangia,je alichosema Kina make sense (achana kwamba yeye ni team kiba)
 
Back
Top Bottom